Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KASHFA NZITO!!! WATU 105 RAIA WA SOMALI WANASWA WAKIFANYA KITENDO HIKI....

Wasomali wakiwa chini ya ulinzi.WAMENASWA! Jeshi la Polisi Kituo cha Buguruni kwa kushirikiana na Serikali ya Mtaa wa Machimbo, Kata ya Segerea, Ilala jijini Dar es Salaam wamewanasa watu 105 raia wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BODABODA WAJERUHIWA, WAANDAMANA MASWA

Mmoja wa madereva hao akiwa na majeraha mgongoni.Na faraja mohamedMADEREVA pikipiki wanaofanya biashara ya kusafirisha abiria maarufu kwa jina la Bodaboda wilayani Maswa mkoani Simiyu, wameandamana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DEREVA ACHINJWA KIKATILI..TAZAMA PICHA ZA TUKIO HAPA

Salum Masoud enzi za uhai wake.INASIKITISHA! Salum Masoud (35), mkazi wa Kijichi, Rufiji mkoani Pwani ambaye alikuwa dereva wa magari ya kubeba mizigo mkoani humo ameuawa kikatili kwa kuchinjwa na watu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KASHFA NZITO YA UFISADI WA TRIONI 1.2/- KATIKA SERIKALI YA JK YAIBULIWA NA...

Serikali ya Uingereza kupitia shirika lake la kuchunguza makosa ya jinai (AFO), imeibua kashfa ya rushwa katika ununuzi wa dhamana (hati fungani) ya serikali katika kipindi cha uongozi wa aliyekuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRA YAKOMAA NA MABASI YA UDA KWA KUKWEPA KULIPA KODI

Agizo la Rais Dk. John Magufuli kuwabana wafanyabiashara wanaokwepa kodi nchini, limeanza kuwa mwiba baada ya mabasi ya Kampuni ya Usafirishaji Dar es Salaam (UDA), kukamatwa kutokana na kukwepa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWZZZ........VIDEO POLISI NA TRA WAKAMATA MAKONTENA 9 ENEO LA MBEZI...

Polisi wa Dar es Salaam kwa kushirikiana na TRA wanayashikilia makontena 9 wanayoyatilia mashaka kuwa huenda yalikuwa yanatoroshwa Tanki Bovu, Mbezi Beach.Madereva waliokuwa wanasafirisha makontena...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UPDATE ZA MAKONTENA 9 YALIYOKAMATWA:!!! TRA IMETOA MASAA 24 KWA MMILIKI WAKE...

Mkurugenzi wa elimu kwa mlipa kodi kutoka mamlaka ya mapato nchini TRA Richard Kayombo ametolea ufafanuzi juu ya kukamatwa kwa makontena 9 katika eneo la Mbezi Tank Bovu jijini Dar es Salaam ambapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI AITIKISA DUNIA KWA UCHAPAKAZI......JINA LAKE LATAWALA MAGAZETI YA...

Kwa wiki ya pili sasa Rais Dkt Magufuli ameendelea kuwa gumzo barani Afrika na sasa hadi nchi za Ulaya zimedata naye.Gazeti kubwa la Marekani, The Guardian limeandika habari isemayo:What would...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AGIZO LA JANA LA RAIS MAGUFULI LATIMIZWA......UPANUZI WA BARABARA YA MWENGE...

Mafundi wakiendelea na  Upanuzi wa barabara ya Mwenge Morocco jijini Dar es Salaam leo ikiwa ni sehemu ya agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.  Hii ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YATOA TAMKO JUU YA KASI YA RAIS MAGUFULI.....YAAHIDI KUMPA USHIRIKIANO WA...

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema, kitampa ushirikiano mkubwa, Rais Dk. John Magufuli, ili aweze kwa ufanisi zaidi mapambano yake dhidi ya mafisadi na mikakati mingine ya kuinua uchumi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARAZA LA MAWAZIRI LA MAGUFULI NI BALAA......YADAIWA KILA WAZIRI ATATIA SAINI...

Kusuasua kwa Rais John Magufuli, kutangaza Baraza la Mawaziri kunatokana na msimamo wake wa kuwachambua watu anaotarajia kuteua katika nafasi hiyo huku akiaandaa mikataba ya makubaliano itakayokuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWZZZZZ!!!! TAARIFA RASMI YA IKULU KUHUSU SAKATA LA UFISADI WA...

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI______________________1.0 Utangulizi1.1 Jana, tarehe 30 Novemba, 2015, mahakama jijini London ilitoza Standard Bank $ 32.2 milioni. Kati ya hizo $ 16.8 milioni ni faini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAKATA LA UFISADI LILILOIBULIWA NA ZITTO KABWE ......IKULU YATOA...

Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue akiongea na Waandishi wa Habari leo 01 Disemba, 2015 katika Ofisi ya Mawasiliano Ikulu kuhusu Tanzania kurejeshewa dola za Marekani milioni 7( sawa na bilioni 13)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREEAKING NEWS : BASI LA TAQBIR LAUWA WATU 32 USIKU HUU HUKO SHELUI SINGIDA...

Picha za Basi hilo baada ya Ajali.Zaidi ya watu 32 wanahofiwa kupoteza maisha usiku huu baada ya basi la abiria la TAQBIR lililokuwa likitokea jijini Dar es salaam kwenda Mwanza kugongana uso kwa uso...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UPDATES : TAARIFA ZAIDI KUHUDU AJALI YA BASI KUUWA WATU ZAIDI YA 30 NA...

 Basi la Taqbir namba T 230 BRJ likiwa eneo la tukio.   Habari zilizotufikia hivi punde kutoka Tabora zinaarifu kua basi la Taqbir namba za usajili T 230 BRJ lililokua likitokea jijini Dar es Salaam...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWZZZ!!!! MSANII MKONGWE ABOUBAKAR KASONGO MPINDA ‘CLAYTON’ AFARIKI...

King Kiki (kulia) akiimba sambamba na Aboubakar Kasongo Mpinda ‘Clayton’ enzi za uhai wake.Aboubakar Kasongo Mpinda ‘Clayton’ akiwa na Issa Nundu (kulia).Na Sifael PaulHabari zilizoufikia mtandao huu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII SHERIA SASA KALIII!!! WALIOUA WATU 14 NAO WAUWAWA

Mmoja wa ndugu wa marehemu akifarijiwa.Polisi katika Jimbo la California nchini Marekani wametaja majina ya washukiwa wawili ambao wameuawa kwa kuhusika na vifo vya watu 14 waliouawa kwa kupigwa risasi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JB AABAINISHA KINACHOIUA SANAAA....MAMBO YENYEWE NI HAYA..

Mkongwe wa filamu Bongo, Jacob Stephen ‘JB’.MKONGWE wa filamu Bongo, Jacob Stephen ‘JB’ ameweka wazi kinachochangia sanaa ya filamu ionekane kama imepwaya na kukosa thamani katika soko kuwa ni wasanii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAUAJI TENA GEITA!!!! WATU WANNE WAUAWA KWA KUKATWA MAPANGA,KISA...

Watu wanne wa familia moja wamefariki dunia kwa kukatwa katwa kwa mapanga huku mtu mmoja akijeruhiwa vibaya mwilini mwake na watu wasiojulikana kutokana na kile kinachodaiwa kuwa ni imani za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BINTI AFARIKI BAADA YA KULA MCHANGA WA KABURI...ALIAMBIWA NA MCHUNGAJI WA KANISA

KENYA: Binti mmoja amefariki dunia baada ya kula mchanga wa kaburi Mhubiri alimshauri ale mchanga huo kwa madai kuwa ana mizimu Inasemekana baada ya kunyweshwa dawa, ndivyo hali ya afya ya msichana...

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live