Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AFISA ARDHI MOROGORO KAPEWA SIKU 14 ZA KUJIELEZA KWA NINI ASIFUKUZWE KAZI

Katibu mkuu ofisi ya Waziri mkuu (TAMISEMI) Jumanne Sagini ametoa siku 14 kwa afisa ardhi, mhandisi wa majengo na Afisa mipango miji manispaa ya Morogoro kuandika maelezo ya kwanini wasifukuzwe kazi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KWA UMMA TOKA WIZARA YA ARDHI,NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI ATOA SIKU SABA KWA WAFANYABIASHARA WAKWEPA KODI.

Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli amewapa siku saba kuanzia tarehe 03/12/2015 wafanyabiashara wote ambao waliingiza mizigo yao bila kulipa kodi wakalipe kwani baada ya hapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS: WAZIRI MKUU AFANYA TENA ZIARA YA KUSHTUKIZA BANDARINI NA...

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amefanya ziara nyingine ya kushtukiza bandarini na kukagua mfumo wa upokeaji na utoaji mizigo na utozaji wa malipo baada ya kupewa taarifa kwamba kuna makontena 2,431...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANASHERIA MKUU AWAKANA WAKUU WA MIKOA WANAOSITISHA LIKIZO ZA WATUMISHI

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju amezungumzia suala la wakuu wa mikoa kutoa matamko ya kusitisha likizo za watumishi wa umma kwa kuwataka wafanye kazi tu.Akizungumza jijini Dar es Salaam...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HERE NEWSPAPER TODAY FRIDAY DEC, 04.2015 FOR STORY INFORMATION,GOSSIP SPORTS...

HERE NEWSPAPER TODAY FRIDAY DEC, 04.2015 FOR STORY INFORMATION,GOSSIP SPORTS HARD NEWS.....................................

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI: SIJACHANGIWA NA MFANYABIASHARA YEYOTE KUINGIA IKULU… PIA ALITOA...

Rais Dk. John Magufuli, amesema hakuna mfanyabiashara aliyemchangia kumuwezesha kuingia Ikulu katika kampeni za uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu, ili aweze kusimamia ipasavyo makusanyo ya kodi kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

[AUDIO] KAULI YA JANUARI MAKAMBA KUHUSU KUMKEJELI RAIS MAGUFULI

January Makamba ameamua kutoa ufafanuzi wa picha mbalimbali zilizowekwa katika akaunti yake ya Instagram ambazo zinadaiwa kumkashfu Rais Magufuli baada ya kumnyima Uwaziri Mkuu.Katika utetezi wake,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZARI AMTAFUTIA DOGO WA DIAMOND MCHUMBA MAARUFU KAMAA ‘HARMONIZE’…DEMU HUYO NI...

Zarinah Hassan ‘Zari’.Mpenzi wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari’ anadaiwa kumkuwadia dogo anayeishi na kufanya kazi ya muziki na Diamond, Rajabu Abdulkhali ‘Harmonize’ kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYOTA WA FILAMU NCHINI, WASTARA JUMA. NA YEYE KAANZA USAGAJI...TAZAMA PICHA HAPA

Nyota wa filamu nchini, Wastara Juma.Jinamizi la usagaji limetua kwa nyota wa filamu nchini, Wastara Juma baada ya dada aliyefahamika kwa jina moja la Marry, ambaye awali alimsaidia katika matibabu,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEWS ALERTS!!!! GARI LA MAGAZETI YA MWANANCHI LAPATA AJALI....WAWILI WAFARIKI...

WATU wawili wamefariki dunia Papo hapo baada ya Gari walilokuwa wakisafiria lililobeba Magazeti ya Mwananchi, The Citizen na Mwanaspoti kwenda mkoani mkoani Mbeya kupata ajali Eneo la Kitonga Wilaya ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAHADHARI KUHUSU KUINGILIA AU KUFUATILIA MAWASILIANO YA WATU

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIAISO 9001:2008 CERTIFIEDTAARIFA KWA UMMATAHADHARI KUHUSU KUINGILIA AU KUFUATILIA MAWASILIANO YA WATU***Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na taarifa za kuwepo kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI AITAKA TRA KUTOA MASHINE ZA EFDS BURE.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli, ameishangaa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa kutogawa bure Mashine za EFDs, na wao kubaki na kazi ya kukusanya mapato.Akizungumza katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATUHUMIWA 8 WA UPOTEVU WA MAKONTENA 349 WAFIKISHWA MAHAKAMANI

WATUHUMIWA nane wa upotevu wa makontena 349 yaliyovushwa Bandarini ya Dar es Salaam bila kulipiwa kodi, miongoni mwao akiwemo Kamishna wa Kodi na Forodha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Tiagi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UPDATES!!! VIGOGO TRA WAKUTWA NA MAMILIONI NYUMBANI KWAO

Siku chache baada ya kigogo mmoja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kubainika kumiliki nyumba 73, wafanyakazi wengine wa mamlaka hiyo wamekutwa na mamilioni ya shilingi waliyoficha majumbani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KASI YA RAIS MAGUFULI HAIKO KWENYE MAKONTENA BANDARINI TU, IMEPITA NA TFF...

Ikiwa bado siku moja Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli atimize mwezi mmoja toka aapishwe kuwa Rais wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, tumeshuhudia mengi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRA YAKUSANYA BILIONI 5 ZA KODI YA MAKONTENA 329......WAFANYAKAZI 35...

BAADA ya Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa kufanya ziara ya kushitukiza katika Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kubaini upotevu wa Makontena 329, mapya yaibuka kwa Makampuni 43 kuhusika kukwepa kodi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWZZZZ!!!! RAIS MAGUFULI AMTEUA VALENTINO MLOWOLA KUWA NAIBU...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr John P. Magufuli, amemteua Valentino Mlowola, kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU kuziba nafasi iliyoachwa wazi na Lilian Mashaka aliyeteuliwa kuwa Jaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATUHUMIWA 8 WA UPOTEVU WA MAKONTENA 349 WAFIKISHWA MAHAKAMANI

KASI ya utendaji kazi wa Rais Dk.John Pombe Magufuli na Waziri Mkuu Majaliwa Kasim Majaliwa imeanza kuwagusa baadhi ya watendaji wa Serikali baada ya maofisa wanane wa Mamlaka ya Mapato Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAKIELIMU YAMZIMA RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE

TAASISI isiyo ya kiserikali ya HakiElimu leo imezindua ripoti iliyobainisha madudu yaliyofanywa katika utawala wa Awamu ya Nne chini ya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete.Ndani ya ripoti hiyo iliyobeba miaka...

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live