Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Nape azipiga MARUFUKU Simba na Yanga kutumia Uwanja wa Taifa

Baada ya mashabiki wa Simba kuvunja viti vya uwanja wa taifa katika mchezo wa Simba na Yanga uliopigwa  Jumamosi na kumalizika kwa sare ya goli ya moja kwa moja, serikali kupitia kwa Waziri wa Michezo,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli amemteua Profesa Lawrence Mujungu Museru kuwa Mkurugenzi...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 03 Oktoba, 2016 amemteua Prof. Lawrence Mujungu Museru kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.Taarifa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania Na Cuba Zakubaliana Kuimarisha Na Kuongeza Uhusiano Na Ushirikiano...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 03 Oktoba, 2016 amekutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Cuba Mhe. Salvador Antonio Valdes Mesa ambapo viongozi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi atoa ONYO kwa wanaotumia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tundu Lissu akosekana Tena Mahakamani Kisutu, aibukia Mwanza

Tundu Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki, jana alishindwa kufika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ili kujibu mashitaka ya uchochezi huku mdhamini wake akiieleza mahakama kuwa, yupo jijini Mwanza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Saed Kubenea kizimbani tena kwa kupotosha

Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya kuandika makala ya kupotosha na kusababisha hofu kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sinema ya CUF Yazidi Kunoga.......Bodi ya Wadhamini Nayo Yagawanyika...

Bodi ya wadhamini ya Chama cha Wananchi (CUF), imegawanyika vipande viwili  kutokana na mgogoro wa uongozi unaoendelea ndani ya chama hicho.Kugawanyika kwa bodi hiyo kumekuja siku moja baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shomari Kapombe nje wiki tatu

Klabu ya Azam FC leo October 5 2016 kupitia kwa mkuu wake wa idara ya habari na mawasiliano wa klabu hiyo Jafari Iddi Manganga amethibitisha kupokea taarifa kutoka kwa daktari wa timu yao kuhusu beki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA 3: Mchina afariki baada ya kukandamizwa na mtambo wa kushindilia lami...

Ujenzi wa barabara ya kuanzia Tengeru Arusha hadi Taveta Voi ya ukubwa wa km 234.3 iliyozinduliwa March 3 mwaka huu na Rais John Magufuli, wakati ujenzi ukiendelea kumetokea ajali ambapo Raia wa china...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli afanya tena ziara ya kushtukiza Airport Dar es salaam

Leo October 5 2016 Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila Kabange amemaliza ziara yake ya kiserikali ya siku tatu hapa nchini na kurejea nchini kwake. Katika uwanja wa ndege wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: Utani wa mchekeshaji Eric Omondi kwa wanaotaka kuwa kama Rais Magufuli

Eric Omondi raia wa Kenya ambaye ni moja kati ya watu waliobarikiwa vipaji vingi ikiwemo uwezo binafsi wa kuchekesha kupitia maneno na mwili wake pia.Baada ya kufanya ile ya mambo ya kuzingatia kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video: Behind the scene Nisamehe ya Baraka da Prince na Alikiba studioni

Moja kati ya single zinazopata airtime ya kutosha kwenye Tv na Radio stations mbalimbali kwa sasa ni Nisamehe ya Baraka da Prince na Alikiba. Pengine wewe ni moja kati watu wanao ukubali mdundo huu na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFF imetangaza maamuzi tofauti na yaliosambaa mtandaoni kuhusu refa wa Yanga...

Shirikisho la soka Tanzania TFF leo October 5 2016 kupitia kwa afisa habari wake Alfred Lucas imetangaza maamuzi yaliofikiwa na kamati kuhusiana na mchezo wa Simba naYanga uliochezwa October 1 2016 na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HEKAHEKA: Binadamu aliyegeuka fisi baada ya kukosewa masharti ya mazishi…

October 5, 2016 kupitia Leo Tena ya Clouds FM, Mtangazaji Geah Habib amekutana na stori huko Mtwara juu ya mwanaume mmoja aliyekua mganga wa kienyeji, mtu huyo inadaiwa kuwa alitoa masharti kwa watoto...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chura ya Snura ruksa kwenye TV na Radio

Leo october 5 2016 Mrembo kutoka Bongoflevani Snura ambaye alizichukua headline baada ya wimbo wake wa Chura kufungiwa na Baraza la Sanaa Tanzani (BASATA) leo mtu wangu nina goodnews kutoka kwa Snura...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UPDATES: Full list ya washindi wa Tuzo za BET Hip-Hop Awards 2016 iko hapa

Mtu wangu wa nguvu nakuletea list ya washindi wa tuzo za BET Hip-Hop Awards  zilizotolewa kwenye ukumbi wa Cobb Energy Performing Arts Centrejijini Atlanta Marekani; na kuoneshwa usiku wa kuamkia leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: Mapya yaibuka Kijiji cha mauaji, Mke wa Waziri achomoka ATCL

AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo October 5 2016 ziko hapa kwenye hii video.ULIKOSA RAIS MAGUFULI KUSISITIZA KUUZWA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTAFITI: Haya hapa Madhara ya kukaa sehemu moja kwa muda mrefu..

V10 likesImeelezwa kuwa watu wanaokaa kitako maofisini au kwenye foleni za magari kwa zaidi ya masaa manne wako katika hatari ya kupata magonjwa yasiyokuwa ya kuambukiza ikiwemo magonjwa ya Moyo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Anayetuhumiwa kutoboa macho Buguruni DSM apandishwa Kizimbani

Mkazi wa buguruni kwa mnyamani anayetuhumiwa kuwachoma watu visu na kisha kuwatoboa macho, Salum Henjewele maarufu kama Scorpion amepandishwa kizimbani katika mahakama ya wilaya ya Ilala na kusomewa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Burundi imeamua kusitisha ushirikiano wake na UN kuhusu Haki za Binadamu

Serikali ya Burundi imechukua uamuzi wa kusitisha ushirikiano wake na Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu, inayotuhumiwa kula njama katika kuandaa ripoti ya Uchunguzi Huru wa Umoja wa Mataifa...

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live