Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakazi wa Magome Kota kuishi miaka 5 kwenye nyumba za kupanga bila kulipa...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt. John Pombe Magufuli ameagiza waliokuwa wakazi wa Magomeni Kota kukaa kwenye nyumba za Serikali miaka mitano bure na baadaye kuzinunua kwa bei...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa ya spika Job Ndugai kuhusu Rais Magufuli kupitisha miswada mitano

Na Eleuteri Mangi-MaelezoRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameridhia na kusaini Miswada mitano kutumika kama Sheria kamili za nchi.Hayo yamesemwa na Spika wa Bunge la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jeshi la Magereza lawasilisha taarifa za utekelezaji wa sheria ya Bodi za...

Jeshi la Magereza nchini limekabidhi rasmi ripoti ya taarifa ya utekelezaji wa sheria ya bodi za Parole kwa Mwenyekiti wa bodi hiyo Taifa, Agustino Lyatonga Mrema ikihusisha uelewa na elimu juu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli apokea ujumbe kutoka kwa Rais Salva Kiir na Rais Nkurunziza

Rais wa Jamhuri ya Sudan Kusini Mhe. Salva Kiir Mayardit amemtumia ujumbe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yaendelea Kutatua Changamoto Mbalimbali Za Wananchi

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UVCCM Wamtetea Rais Magufuli.... Wasema Hotuba Yake Aliyoitoa Zanzibar...

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umesema Rais John Magufuli, hana baya alilolitamka katika mikutano yake ya Unguja na Pemba, bali amezika upotoshaji wa siasa uchwara, kusafisha upepo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Afikishwa Mahakamani kwa Kumtisha Rais Magufuli Kupitia Mtandao wa Watsapp

Mfanyabiasha  Leonard Materu (31) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashitaka ya kutuma ujumbe wa kumtishia Rais John Magufuli kupitia mtandao wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASI LA NEW FORCE LAPINDUKA NA KUUWA WATU 12 NA KUJERUHI 30 HUKO NJOMBE

 Basi la New Force kutoka Dar es salaam kwenda Songea limepata ajali baada ya kupinduka eneo la Kifanya kilomita kadhaa kutoka mkoani Njombe.Ajali hiyo imetokea Septemba 19,2016 majira ya saa moja na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pitia Hapa Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumatano Sept 21,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Atuma Salamu Za Rambi Rambi Vifo Vya Watu 12 Kwenye Ajali Ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News: Basi La Super Shem Lagongana Na Hiace Na Kuua Watu 11 Huko...

Basi la Super Shem linalofanya safari za Mwanza kwenda  Mbeya limepata ajari ya kugongana na hiace katika kijiji cha Hungumalwa wilayani Kwimba jijini Mwanza na kusababisha vifo vya watu  wanaodaiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Udhamini ya Mfuko wa...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 21 Septemba, 2016 ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Udhamini ya Mfuko wa Pensheni wa LAPF Prof. Hasa Mlawa kuanzia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahakama ya Kisutu yamtaka Mhe.Tundu Lissu kufika mahakamani kujieleza kwa...

Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imemtaka mbunge wa Singida Mashariki kupitia CHADEMA, Mhe.Tundu Lissu anayekabiliwa na kesi ya uchochezi pamoja na wahariri wa gazeti la Mawio...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWZZ!!! MASKINIII MTU ASIYEJULIKANA ATOA MIMBA NA KUMTUPA MTOTO...

BREAKING NEWZZ!!! MASKINIII MTU ASIYEJULIKANA ATOA MIMBA NA KUMTUPA MTOTO NDANI YA MAJI....SAMAHANI KWA PICHA HII

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pitia Hapa Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumatano Oct 03,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Inasikitisha!! Watafiti Watatu wa Serikali Wauawa na Wananchi Kwa Kuchomwa...

Yowe ya kuvamiwa na wanyonya damu , iliyopigwa na wanawake waliokuwa wakichimba chumvi katika Kijiji cha Iringa-Mvumi wilayani Chamwino, Mkoa wa Dodoma ndiyo iliyosababisha kuuawa kwa watafiti wa Chuo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tazama video mpya ya Lady JayDee- Sawa Na Wao (Official Music Video)

Tazama video mpya ya Lady JayDee- Sawa Na Wao (Official Music Video)

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) latoa tamko siku ya wazee duniani

OKTOBA Mosi (1) ya kila mwaka ni siku iliyoteuliwa na Umoja wa Mataifa kuadhimisha uwepo wa wazee katika jamii kote ulimwenguni. Siku hii ilianza kuadhimishwa rasmi Oktoba 1, 1991 kwa lengo la kuongeza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Prof. Lipumba Ateua Wakurugenzi Wapya... Atoa maagizo kwa bodi ya wadhamini...

Licha ya baadhi ya viongozi wa ngazi za juu wa Chama cha Wananchi (CUF) na wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kutamka kutomtambua Profesa Ibrahim Lipumba kama mwenyekiti wa CUF, Lipumba ameendelea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barua ya Baraza Kuu la CUF kwa Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis...

YAH: MSIMAMO NA USHAURI WA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA KUHUSU UONGOZI WA KITAIFA WA CHAMA CHA THE CIVIC UNITED FRONT (CUF)Tafadhali husika na somo hapo juu pamoja na barua yako ya tarehe 23 Septemba...

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live