Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UVCCM Wamtembelea Kjiana Aliyetobolewa Macho na Scormpion

UMOJA wa Vjana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umelihimiza Jeshi la polisi nchini kutambua kuwa ujambazi, wizi wa kutumia silaha na uporaji bado ni tatizo linalohitaji kushughulikiwa kwa nguvu zote...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mashahidi Kesi ya Ester Bulaya wapunguzwa... Sasa Keshi hiyo Kutolewa Maamuzi...

Mashahidi wa pande zote mbili katika kesi ya kupinga ushindi wa Ester Bulaya katika uchaguzi wa mbunge wa Jimbo la Bunda wamepunguzwa na kuweka mazingira ya shauri hilo kutolewa uamuzi mapema.Katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CUF Tanga Wamgomea Profesa Lipumba... Waahidi kutompokea katika Ziara Zake

CHAMA cha Wananchi (CUF) wilayani hapa kimetoa tamko la kutomtambua Mwenyekiti wa Taifa, Profesa Ibrahim Lipumba, na kwamba hakitampokea katika ziara yake.Lipumba anatarajia kuanza ziara mkoani Tanga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Africa Yatoa Heshima Nyingine Kubwa kwa Mwalimu Nyerere

Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amezindua jengo jipya makao makuu ya Umoja wa Afrika ambalo limepewa jina la rais mwanzilishi wa taifa la Tanzania, Julius Nyerere.Jengo hilo ambalo jina lake kamili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yakiri uhaba wa Dawa na vifaa tiba katika hospitali nchini

Makamu  wa Rais, Samia Suluhu Hassan, amekiri kuwapo  uhaba wa dawa   na vifaa tiba katika hospitali za Serikali nchini.Amesema uhaba huo wa dawa ni changamoto ya muda mfupi na Serikali inatafuta...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maalim Seif Aziandikia Barua Benki Zote Nchini Kupinga Profesa Lipumba...

Katibu  Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amemdhibiti mwenyekiti anayetambulika na Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Profesa Ibrahim Lipumba kwa kuandika barua kwa benki zote...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwalimu Ashinda Kesi ya Kumtukana Mwanafunzi wa Kidato cha 6 Huko Iringa

Mahakama ya Mwanzo Iringa  Mjini imemuachia huru mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Kiwele baada ya kukosa ushahidi wa kumtia hatiani katika kesi ya  kumtukana mwanafunzi.Mwalimu huyo, Elizabeth Maliga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa mpya ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kuhusu tukio la kupigwa kwa Mwanafunzi...

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makala amesema kuwa wanafunzi wa ualimu na walimu waliohusika na tukio la kumpiga mwanafunzi katika Shule ya Sekondari ya Kutwa Mbeya tayari wanaendelea kuhojiwa na Jeshi la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli afuta safari za watumishi wa serikali kwenda Kwenye Kilele cha...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameagiza viongozi wote wa Serikali walioalikwa kuhudhuria sherehe za Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa zitakazofanyika tarehe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nauli za daladala kuanza kulipwa kielektroniki kuanzia mwakani ili kubaini...

Mamlaka  ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imetangaza kuanzishwa kwa mfumo mpya wa ukataji wa tiketi za mabasi na daladala kwa njia ya kielektroniki.Hatua hiyo ina lengo la kurahisisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Awapa Ahaueni walimu Waliotoa kipigo kwa mwanafunzi Mbeya

Baada  ya uamuzi wa kuwafukuza vyuo walimu wanne waliokuwa kwenye mafunzo ya vitendo katika Shule ya Sekondari ya Kutwa ya Mbeya (Mbeya Day), serikali imesema vyuo husika vinaweza kushauri adhabu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzia: Aliyekuwa Meya wa Jiji la Dar es Salaam Dk. Didas Masaburi afariki Dunia

Meya wa zamani wa Jiji la Dar es Salaam, Dk. Didas Masaburi amefikwa na umauti jana majira ya saa tatu na nusu usiku katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa amelazwa.Taarifa za kifo chake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Atuma Salamu za Rambirambi kufuatia kifo cha Meya Mstaafu wa...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameitumia salamu za rambirambi familia ya Meya Mstaafu wa Jiji la Dar es Salaam Dkt. Didas Masaburi aliyefariki dunia jana tarehe 12...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nauli za ATCL zitakazotumika kuanzia Oktoba 14 hadi 28

Ndege mbili mpya za Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) aina ya Bombardier Q400 zinatarajia kuanza kazi wakazi  wa mikoa ya Mwanza, Arusha na Zanzibar watakuwa wa kwanza kupata ofa.Ofisa Habari wa shirika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kampuni ya Moladi Yaahidi kujenga nyumba za watumishi Dodoma

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameikaribisha kampuni ya ujenzi ya Moladi Tanzania ielekeze nguvu zake Dodoma ambako kuna mahitaji makubwa ya nyumba za watumishi.“Natambua kuwa mnatumia teknolojia ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mashahidi 16 Kujenga Kesi ya Akina Halima Mdee na Saed Kubenea

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewasomea maelezo ya awali (PH) washtakiwa wanane wakiwamo, wabunge watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) katika kesi ya kumpiga na kumjeruhi Katibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbio Za Kilimanjaro Marathon 2017 Zazinduliwa Dar Es Salaam, Kufanyika...

Mbio za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2017 ambazo ni za 15 tangu Kuanzishwa kwake, zimezinduliwa rasmi  leo jijini Dar es Salaam katika mkutano na wanahabari, wadhamini na Chama Cha Riadha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Prof. Muhongo amteua Charles Sabuni kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AUDIO: Wachina wakamatwa Mtwara, wakutwa wakibadili Expire date kwenye dawa

Watu watano wakiwemo raia wawili wa China na Watanzania watatu wamekamatwa Mtwara kwa kutuhumiwa kubadili tarehe zilizokwisha muda wa matumizi kwenye dawa za kilimo (expire date) ili dawa hizo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC Arusha Arejesha fedha zaidi ya shilingi milioni 1.3 alizokuwa amelipwa kwa...

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo leo ametekeleza agizo la Rais Magufuli la kusitisha safari ya kwenda Mkoani Simiyu kwenye sherehe za kuhitimisha kilele cha mbio za mwenge wa Uhuru kwa...

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live