Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKONDA AIBUA UFISADI WA BILIONI 5.7 KINONDONI

MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (pichani) ameamuru kusitishwa mara moja malipo yanayofanywa kwa makandarasi waliojenga barabara tano za ndani ya wilaya hiyo.Amefanya hivyo kwa maelezo kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAFUNZI 503,914 WACHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA

Jumla ya wanafunzi 503,914 kati ya 518,034 waliofaulu mtihani wa kumaliza elimu ya msingi kwa kupata alama A, B na C, wamechaguliwa kujiunga kidato cha kwanza katika shule za sekondari za Serikali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAJI MARK BOMANI AMSHAURI MAALIM SEIF AKUBALI UCHAGUZI URUDIWE

JAJI Mkuu na Mwanasheria Mkuu Mstaafu, Mark Boman amesema kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Umoja Zanzibar, Maalim Seif Hamad akubali uchaguzi urudiwe Zanzibar kwani kama alishinda atashinda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CAG AKAIDI AGIZO LA RAIS MAGUFULI....... AENDA NAIROBI, KENYA KWA FEDHA ZA...

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Juma Assad, amekiuka agizo la Rais Dk. John Magufuli, baada kusafiri nje ya nchi bila kibali cha Ikulu.Kwa mujibu wa gazeti la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHAMSA FORD HANA AIBU!!! EBU TAZAMA HIZI PICHA

Msanii wa filamu, Shamsa Ford.Hana aibu! Msanii wa filamu, Shamsa Ford hivi karibuni alizua gumzo baada ya kutupia picha kwenye mtandao ikimuonesha akiwa nusu utupu mbele ya Wamasai walioonekana kupata...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PAM D: NIKIVAA NGUO NDEFU NAWASHWA

Mwanamuziki anayefanya poa kwenye game, Pam D.Mwanamuziki anayefanya poa kwenye game, Pam D amesema watu wasimshangae kwa kupenda kuvaa nguo fupi hasa vipensi kwa kuwa, eti akivaa nguo ndefu anawashwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEMA AMUINGIZA MKENGE DIAMOND

Wema na Diamond Platinumz enzi wakiwa pamoja..MAPYA tena! Baada ya hivi karibuni staa wa Bongo, Wema Sepetu kuuvaa msala wa kudaiwa kutumia maji na umeme kwa wizi, madai mazito yameibuka kuwa, wizi huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MENEJA ATUMBULIWA JIPU GESTI!

Akiwa haamini kilichotokea baada ya fumanizi hilo.SASA kinachoonekana ni tumbuatumbua majipu iliyoanzishwa na Rais Dk. John Pombe Magufuli ‘JPM’ dhidi ya mafisadi imeenea kila kona ya nchi, mtu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWZZZ!!!.....AJALI MBAYA YA BASI MDA HUU YAUA NA WENGINE MAJERUHI...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ARE ALL TANZANIA NEWSPAPERS THIS SATURDAY DEC 19,2015, FOR HARD NEWS, GOSSIP...

ARE ALL TANZANIA NEWSPAPERS THIS SATURDAY DEC 19,2015, FOR HARD NEWS, GOSSIP NEWS AND SPORTS NEWS Update...........................

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWZZ!!!! WATUMISHI 10 TANESCO WASIMAMISHWA KAZI KWA UPOTEVU WA...

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme (Tanesco), Felchesmi Mramba, amewasimamisha kazi maofisa 10 wakiwamo wahasibu waandamizi na mafundi kwa kusababisha upotevu wa mapato zaidi ya Sh.milioni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROFESA MUHONGO KAFUTA LIKIZO ZOTE ZA WAFANYAKAZI WA TANESCO.......KAWAAGIZA...

Bei ya umeme inatarajia kushuka wakati wowote kuanzia sasa baada ya Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (pichani )kuliagiza Shirika la Umeme (Tanesco), kushusha gharama za nishati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAULI YA MWENYEKITI FREEMAN MBOWE KUHUSU UAMUZI WA BODI YA MCC KUZUIA MSAADA...

Muda mfupi baada ya Bodi ya MCC kutoa taarifa inayoonesha Tanzania haitapata msaada kutoka shirika hilo kama ilivyotarajiwa kwa ajili ya mwaka 2016, Mwenyekiti wa Chama (T), Freema Mbowe ametoa kauli...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAREKANI KUPITIA SHIRIKA LA MCC YAINYIMA MABILIONI YA PESA TANZANIA KUTOKANA...

Serikali ya Marekani kupitia Shirika la Changamoto za Milenia (MCC) imetangaza kusitisha msaada wa dola Milioni 472.8 ambazo ni sawa na takribani shilingi trillion moja, kutokana na uamuzi wa kufutwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KASI YA RAIS MAGUFULI YABAINI VYETI FEKI 219.......WAZIRI ATAKA HATUA KALI ZA...

Kasi ya Mawaziri  wa Rais John Pombe Magufuli kufanya ziara za kushtukiza na kutoa maagizo kwa watendaji imeanza kufumua uozo baada ya jana kubainika kuwa watumishi 219 kati ya 704  wa serikali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA MAMBO YA NJE DK MAHIGA KUZUNGUMZA NA KATIBU MKUU WA JUMUIYA YA...

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga atafanya ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Arusha kuanzia leo Jumamosi tarehe 19 Desemba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HABARI ZILIZOPO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI YA DISEMBA 20

Mpekuzi blog

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMKO LA CHAMA CHA WANASHERIA TANZANIA BARA KULAANI UKIUKAJI WA KATIBA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA ATOA UJUMBE MZITO KWA CCM BAADA YA KUPEWA TUZO YA AMANI NA TAASISI...

Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema na kuungwa mkono na Ukawa, Edward Lowassa amesema anashangaa kuona anaambiwa mleta vurugu wakati dunia inamkubali kuwa ni mlinzi wa amani.Kauli ya Lowassa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI KITWANGA,DR MWAKYEMBE WATEMBELEA MAGEREZA MAKUU JIJINI...

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk Harrison Mwakyembe na Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga, wameunda kamati ndogo ya wataalamu kwa ajili ya kutatua changamoto zilizopo magerezani.Wakizungumza na...

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live