Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NDEGE ZIMETELEKEZWA AIRPORT MWAKA MZIMA, MWENYE NAZO HAJULIKANI ?!! CHEKI NA...

Eti ndege zimetelekezwa na mwenyewe hafahamiki ??!! Kichwa cha habari huenda kikakushtua lakini ndio hivyo, na ndege zenyewe zimekaa airport mwaka mzima uwanja wa Kuala Lumpur, Malaysia.Baada ya ndege...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOP 5 STORI: MADRID WAPO TAYARI RODRIGUEZ AJIUNGE NA CHELSEA ILA? BAADA YA...

Headlines za soka bado zinachukua nafasi kila kukicha na mimi mtu wangu siachi kukujuza kila linalonifikia, hususani katika kuelekea kipindi hiki cha dirisha dogo la usajili la mwezi January. Mtu wangu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ARE ALL TANZANIA NEWSPAPERS THIS WEASDAY DEC 16,2015, FOR HARD NEWS, GOSSIP...

ARE ALL TANZANIA NEWSPAPERS THIS WEASDAY DEC 16,2015, FOR HARD NEWS, GOSSIP NEWS AND SPORTS NEWS Update............................

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA KUZUNGUKA NCHI NZIMA KUANZIA KESHO

Aliyekuwa mgombea urais wa Chadema akiungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa ataanza ziara ya kuzunguka nchi nzima kuwashukuru Watanzania kwa kumpigia kura...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHUNGAJI NA MKEWE WATIWA MBARONI KWA KUMFUNGIA NDANI MTOTO WAO MLEMAVU KWA...

POLISI mkoani Singida inamshikilia Mchungaji wa Kanisa la Pentekoste Itaja na mkewe kwa tuhuma za kumfungia ndani ya chumba mtoto wao mlemavu wa viungo kwa miaka 12 bila kutoka nje.Kamanda wa Polisi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHAMA CHA WAHASIBU TANZANIA (TAA) CHAAHIDI KUPAMBANA NA WAHASIBU WALA RUSHWA,...

CHAMA cha Wahasibu Tanzania (TAA) kimetishia kuwaondoa wahasibu waliokuwepo kwenye daftari la chama hiko endapo watakiuka taratibu na maadili ya kazi kulingana na matakwa ya chama hicho ikiwemo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBOWE AZUNGUMZIA KASI YA RAIS MAGUFULI.....ADAI KUWA MPINZANI HAIMAANISHI...

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amezungumzia kasi aliyoanza nayo rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli pamoja na baraza lake la mawaziri.Akizungumza jana na mwandishi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBACHAWENE AAGIZA TAKA ZILIZOKUSANYWA WAKATI WA UHURU DISEMBA 9 ZIZOLEWE...

WAZIRI wa nchi ofisi ya Rais Tamisemi,Utumishi na Utawala bora George Simbachawene amewaagiza wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na wakurungenzi wote wa halmashari nchini kuhakikisha wanazoa taka zote...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTURUKI KUISAIDIA TANZANIA KUFANIKISHA MPANGO WA ELIMU BURE

Serikali ya Uturuki imeahidi kuisaidia  Serikali ya Tanzania kufanikisha mpango wa utoaji wa elimu bure kwa wanafunzi utakaoanza January mwakani.Hayo yalizungumzwa jana na Balozi wa Uturuki nchini Bi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAFFA YAIBUA MAPYA YA UTOROSHAJI WA KONTENA BANDARINI

CHAMA cha Mawakala wa Forodha nchini (TAFFA) kimesema kuwa wizi wa kontena bandari ya Dar es Salaam na kusababisha serikali kukosa mapato ni tatizo la muda mrefu ambalo ni limekuwa likisababishwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIPOTI KUTOKA ZANZIBAR KUHUSU AJALI YA MOTO KWENYE MELI DECEMBER 15..

Hii stori imenifikia baada ya kuenea kwenye mitandao pamoja na picha zikionesha tukio la meli kuwaka motoNimeipata ripoti pia kwenye habari ya ITV kwamba meli hiyo ya MV Royal imepata ajali ya kuwaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ARE ALL TANZANIA NEWSPAPERS THIS THURSDAY DEC 17,2015, FOR HARD NEWS, GOSSIP...

ARE ALL TANZANIA NEWSPAPERS THIS THURSDAY DEC 17,2015, FOR HARD NEWS, GOSSIP NEWS AND SPORTS NEWS Update.Mpekuzi blog

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA KILIMO ATOA SAA 48 KWA KAMPUNI YA SPARKWAY LTD KULIPA BILLION 3.4...

Waziri wa Kilimo Uvuvi na Mifugo Mwigulu Lameck Nchemba ametoa masaa 48 kuanzia jana  kwa kampuni ya Sparkway ltd kuwalipa wakulima wa korosho wa Mkoa wa pwani, kiasi cha Bilioni 3.4 za mauzo ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA BABATI AMBAYE ALIHUSIKA NA KUIBINAFSISHA COCO...

Katibu mkuu ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa (TAMISEMI) Bwana Jumanne Sagini amemsimamisha kazi mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Babati mkoani Manyara Mhandisi Mussa Natty...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATUMISHI WANNE WA SERIKALI WALIOSAFIRI KWENDA NJE YA NCHI BILA RUHUSA YA...

Rais Magufuli ameagiza kusimamishwa kazi mara moja kwa watumishi waandamizi wanne wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU ambao walisafiri nje ya nchi licha ya Rais Magufuli kupiga...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK. DIDAS MASABURI AKUBALI YAISHE....AFUTA KESI YA KUPINGA UBUNGE WA SAED...

Meya wa zamani wa Jiji la Dar es Salaam, Dk Didas Masaburi ameamua kutoendelea na kesi ya kupinga ushindi wa Saed Kubenea wa Chadema kwenye uchaguzi wa Jimbo la Ubungo aliyokuwa amefungua Mahakama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI AWAHAKIKISHIA WATANZANIA KUTIMIZA AHADI YAKE YA ELIMU...

Rais Magufuli amempongeza Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Dkt. Philip Mpango kwa kazi nzuri ya ukusanyaji wa mapato inayofanywa na mamlaka hiyo ambayo imeongeza ukusanyaji wa Mapato...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZITTO KABWE AMKINGIA KIFUA PROFESA MUHONGO

Waliosema Ufisadi ni Mfumo ndio wanasema leo Prof. Muhongo hafai kuwa Waziri sababu ya Tegeta Escrow. Sijui lini mahakama ilimhukumu Muhongo! Sijui lini Muhongo kawa Mfumo. Tujifunze kuweka akiba.Prof....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUHIMBILI YAPATA MASHINE MPYA YA VIPIMO YA CT SCAN

Serikali imeanza kufunga mashine mpya ya vipimo ya CT Scan kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), ikiwa ni mkakati wa kukabiliana na tatizo la upungufu wa vifaa tiba.Kifaa hicho kimekuja wakati MNH...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ARE ALL TANZANIA NEWSPAPERS THIS FRIDAY DEC 18,2015, FOR HARD NEWS, GOSSIP...

ARE ALL TANZANIA NEWSPAPERS THIS FRIDAY DEC 18,2015, FOR HARD NEWS, GOSSIP NEWS AND SPORTS NEWS Update...........................

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live