Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Kwa mara ya kwanza Tanzania imeweza kuweka betri kwenye moyo wa mtoto

Na John Stephen, MNHDar es Salaam, Tanzania.Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI)-Muhimbili LEO imefanya upasuaji mkubwa wa moyo kwa mtoto, Happiness John Josephat ambaye amepandikizwa peacemaker...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NECTA Imezitaja Shule 10 Bora Kitaifa Pamoja na Shule 10 za Mwisho Kitaifa

Baraza la mitihani Tanzania(NECTA) imetangaza matokeo ya kidato cha sita 2016, na Kuzitaja shule zilizo fanya vizuri zaidi Kitaifa na zile ambazo hazikufanya vizuri Kitaifa.Ubora wa shule umepagwa kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Atoa Sh bil 12.3 kukarabati Mahakama

JAJI Mkuu, Mohamed Chande Othman amempongeza Rais John Magufuli kwa kutoa zaidi ya Sh bilioni 12.3 kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa majengo ya mahakama nchini.Ametoa pongezi jana wakati akizindua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ushuhuda: Nilimlisha Mume Wa Mtu Limbwata La Nyama Ya Bundi

USHUHUDA  WA   THEOFLIDA  WA  YESU : NILIMLISHA  MUME  WA  MTU, LIMBWATA  LA  NYAMA  YA  BUNDI.Nawasalimu  wa  jina  la  YESU,  jina  kuu  kupita  majina  yote. Jina  langu  ninaitwa  Theoflida , ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wasomi wamfagilia Sumaye uongozi Pwani Wasema ameonyesha siyo aina ya...

Wasomi nchini wamesema iwapo Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye atakuwa mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, atasaidia kukijenga chama hicho cha upinzani nchini, kuanzia ngazi ya chini....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makinda atumbua wakurugenzi 9 NHIF....Wadaiwa Kuhusika na Ufujaji wa...

Bodi ya Wakurugenzi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ambayo Spika wa Bunge la 10, Anne Makinda ni Mwenyekiti wake, imewatumbua wakurugenzi 9 wa mfuko huo kutokana na ufujaji wa mabilioni ya fedha za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aliyeoongoza kidato cha 6 ni tunda la Shule ya Kata, aeleza alivyodharauliwa

Mwanafunzi aliyeongoza katika matokeo ya kidato cha sita yaliyotangazwa jana na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Hassan Gwaay ameonesha moja kati ya tunda bora lililodhihirisha faida ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pitia Hapa Magazeti Yote Ya Tanzania Jumamosi Julai 17,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kapteni wa JWTZ Apanda Kortini Kwa Kutishia Kuua

KAPTENI wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi la Tanzania (JWTZ), Henrick Mahenge (34) mkazi wa Mliman City, Dar es Salaam, juzi alipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kujibu mashitaka ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto aliyewekewa ‘mashine’ kwenye moyo aanza mazoezi

Mtoto Happiness John Mkazi wa Seliani Arusha aliyefanyiwa upasuaji kwenye moyo na kupandikiziwa kifaa cha kusaidia kudhibiti mapigo ya moyo (pacemaker), ameanza mazoezi. Daktari Bingwa wa magonjwa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Amteua Longinus Kyaruzi Rutasitara Kuwa Mwenyekiti Mpya Bodi Ya...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Prof. Longinus Kyaruzi Rutasitara kuwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA).  Prof. Longinus Kyaruzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sauti: Augustino Mrema azungumzia hatua ya Rais kumteua na hatma yake ndani...

Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party, Augustino Lyatonga Marema amezungumzia hatua ya Rais Magufuli kumteua kuwa Mwenyekiti wa Parole Taifa na kuwa ni ipi hatma yake ndani ya TLP. Kumsikiliza Mrema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vijana Chadema Walianzisha Tena Dodoma

Vijana wa Chadema wanatua tena Dodoma ambako CCM inaendelea na maandalizi ya mwisho mwisho kwa ajili ya mkutano mkuu maalumu wa kumkabidhi Rais John Magufuli kiti cha uenyekiti.Mwenyekiti wa Baraza la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa za Jerry Muro Kuteuliwa Kuwa Msemaji Msaidizi wa Ikulu, Jerry Asema Haya

Ule ujumbe wa Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga, Jerry Muro kuwa ameteuliwa na Rais John Pombe Magufuli kuwa msemaji msaidizi wa Ikulu imezua gumzo kubwa.Ujumbe huo umesambaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

​Diamond Asherehekea Video ya Kidogo Kufikisha Views Milioni 1 Ndani ya Siku 4

Diamond Platnumz anasherehekea mafanikio ya video ya wimbo wake mpya, Kidogo.Ndani ya siku nne, video ya wimbo huo aliowashirikisha P-Square imefikisha views zaidi ya milioni moja kwenye mtandao wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mrema Afunguka: Asema Rais Magufuli Anaishi Kwenye Maneno Yake Hana Longo Longo

Mwenyekiti wa TLP Dkt. Augustino Lyatonga Mrema amesema Rais Dkt. John Magufuli anaishi kwenye maneno yake kwa kuwa mwaka jana alipofika kwenye jimbo la Vunjo aliwaambia wananchi wamchague Mrema na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Kamili Kuhusu Habari ya Rais Magufuli Kumteua Jerry Murro Kuwa...

Baada ya taarifa kuenea kwenye mitandao ya kijamii kuwa Rais John Pombe Magufuli amemteua Jerry Murro ambaye alikuwa afisa habari wa Yanga kuwa msaidizi wa mawasiliano ya Rais Ikulu, kurugenzi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pitia Hapa Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumatatu Julai 18,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News: Ajali ya Lori Yaua Watu Watatu Huko Dodoma Wakitoka Mnadani

WATU watatu wamekufa baada ya kufukiwa na mizigo wakati lori walilokuwa wamepanda kutoka Mnada wa Mgaga wilayani Bahi mkoani Dodoma, kupasuka tairi na kupinduka.Ajali hiyo iliyotokea katika Kijiji cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maalim Seif Kitanzini... Jeshi la Polisi Lasema Litamkamata na Kumshitaki kwa...

MKUU wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali, Ernest Mangu amefunguka kuhusu mambo juu ya utendaji wa jeshi hilo na kueleza kuwa wakati wowote litamburuza mahakamani Katibu Mkuu wa Taifa wa Chama cha...

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live