Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Ayaagiza Mashirika ya Hifadhi ya Jamii Kuwekeza kwenye Viwanda...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameyaagiza mashirika yote ya Hifadhi ya jamii kutoendelea kuwekeza katika miradi ya majengo na badala yake yajielekeze katika ujenzi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Here Are All Tanzania Newspapers Today 10 May 2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Songas Yazima Mitambo Yao kwa Kuidai Tanesco Sh Blioni 194

Kampuni ya kufua umeme kwa njia ya gesi asilia, Songas Limited imezima mitambo yake, baada ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kushindwa kulipa deni la Dola 90 milioni za Marekani sawa na Sh193.5...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makonda Awasimamisha Kazi Vigogo wawili wa Manispaa Kwa Tuhuma za Kushindwa...

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewasimamisha kazi wakuu wawili wa idara katika manispaa mbili kwa tuhuma za kushindwa kutoa maelezo kuhusu watumishi hewa katika idara zao, huku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wachungaji Wawili wa KKKT Wafikishwa Mahakamani Kwa Tuhuma za Mauaji.......

Wakati mchungaji wa Kanisa la Moravian akikamatwa na meno ya tembo 11 ndani ya kanisa, huko Moshi wachungaji wawili wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vita Ya Sukari Yazidi Kupamba Moto.....Kilo 622,000 Zakamatwa Morogoro, RC...

Suala la uhaba bandia wa sukari limeendelea kuitikisa nchi, lakini vyombo vya ulinzi na usalama vikifanya kazi nzuri baada ya kuwatia nguvuni wafanyabiashara wengine, waliohodhi bidhaa hiyo kinyume cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge Apinga Wakunga Wanaume Kuruhusiwa Kuwahudumia Wanawake Wakati wa...

Mbunge wa Viti Maalumu (CUF), Riziki Mngwali amepinga mpango wa Serikali kuajiri wakunga wanaume katika baadhi ya zahanati kuhudumia wajawazito wakati wa kujifungua kuwa ni udhalilishaji dhidi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mfumuko Wa Bei Wa Taifa Waendelea Kupungua

Ofisi ya Taifa ya Takwimu imetangaza Mfumuko wa Bei wa Taifa wa mwezi Aprili 2016 na kusema kuwa umepungua kidogo hadi kufikia asilimia 5.1 kutoka asilimia 5.4 iliyokuwepo mwezi Machi, 2016.  Hii...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Mstaafu Jakaya Kikwete Aagwa Na Mabalozi Wapya Chikawe Na Kisamba

Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akizungumza na Balozi mpya wa Tanzania nchini Japan, Balozi Mathias Chikawe, alipofika kumuaga katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UDA Yazikwa Rasmi.... Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Yavunja Mkataba

Hatimaye  uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, umevunja mkataba wa uwekezaji wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam(UDA) na Kampuni ya Simon Group Limited inayomilikiwa na mfanyabiashara,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKAWA Wadai Rais Magufuli Ndo Chanzo cha Sukari Kuadimika Nchini

Kambi  Rasmi ya Upinzani Bungeni, imesema tatizo la sukari nchini limetokana na uamuzi usio sahihi wa Rais Dk. John Magufuli, kwa kupiga marufuku uingizwaji wa bidhaa hiyo kutoka nje ya nchi bila...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari Ajisalimisha Polisi, Ahojiwa Kwa...

Polisi wilayani Arumeru jana iliwashikiliwa kwa muda mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari na madiwani 35 wa Chadema kwa tuhuma za kuvamia eneo na kuharibu mali.  Viongozi hao, wiki iliyopita...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzia: Msanii wa Vichekesho Mohammed Abdallah (Kinyambe) Amefariki Dunia

Mchekeshaji maarufu nchini Tanzania kutoka katika Kundi la Vituko Show, Mohammed Abdallah ‘Kinyambe’ amefariki dunia Jumatano hii baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu na uvimbe tumboni.Taarifa za kifo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Here Are All Tanzania Newspapers Today 13 May 2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mafikizolo Toka Sauzi Na Diamond Platinum's Wafunika Vibaya Tamasha La...

Mwanamuziki wa kizazi kipya Nasibu Abdul “Diamond Platinum’s” pamoja na kundila muziki la Mafikizolo wakiimba wimbo wao wa Color of Afrika wakati wa Tamasha la Vodacom Kichuo zaidi lillilofanyika Chuo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge Apewa Siku 3 Atoe Ushahidi wa Magari 777 ya Washawasha

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amempa siku tatu Mbunge wa Viti Maalumu, Susan Lyimo (Chadema) awasilishe mbele ya Kamati ya Maadili ya Bunge, maelezo ya utetezi dhidi ya madai aliyotoa bungeni kuhusu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wabunge 53 Chadema na CUF Wajitoa TWPG Baada ya Kutoombwa Radhi na Mbunge wa...

WABUNGE wanawake 53 wa kambi ya upinzani kutoka vyama vya CUF na Chadema wamejitoa kwenye Umoja wa Wabunge Wanawake (TWPG) baada ya kutoombwa radhi na Mbunge la Ulanga, Godluck Mlinga (CCM) aliyesema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sakata la Sukari: Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Kutetea Walaji Tanzania...

Wakati Serikali ikiendelea kuwaadhibu wafanyabiashara wakubwa kwa madai ya kuficha sukari katika maghala, Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Kutetea Walaji Tanzania (TCSA), Benard Kihiyo amesema hatua za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chadema Waungana na CUF Kutomtambua Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza rasmi kutoitambua Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), inayoongozwa na Dk Ali Mohamed Shein. Mbali na kutoitambua Serikali hiyo, chama hicho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Spika Job Ndgai Awagomea Wabunge Waliotaka Utaratibu wa Kusaini Mara Mbili...

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amejibu mwongozo ulioibuliwa na wabunge bungeni wa kutaka utaratibu wa kusaini kwa kutumia kidole mara mbili kwa siku uondolewe, kwa kusisitiza kuwa utaratibu huo...

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live