THROUGH HERE ALL NEWS PAPER TODAY JANUARY 6,2016 FOR GOSSIP,SPORTS AND HARD NEWS
THROUGH HERE ALL NEWS PAPER TODAY JANUARY 6,2016 FOR GOSSIP,SPORTS AND HARD NEWS
View ArticleMTOTO AMUUA MAMA’KE KISA WALI>>
Mume wa marehemu akiwa pembeni ya mwili wa mkewe.Na Dustan Shekidele, UWAZIMOROGORO: Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni! Kijana Said Ally Mwinyimvua anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa...
View ArticleALIYETOA SIRI YA MUHIMBILI KWA MAGUFULI, MAZITO YAIBUKA
Chacha Makenge.NA MWANDISHI WETU, UwaziDAR ES SALAAM: Yule mgonjwa anayeaminika ndiye aliyetoa siri ya kuharibika kwa mashine za CT Scan na MRI Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa Rais Dk. John Magufuli...
View ArticleBREAKING NEWZZZ!!! RAIS WA MAREKANI, BARACK OBAMA AMWAGA MACHOZI HADHARANI
Rais Barack Obama alitokwa na machozi jana alipokuwa akitetea kufanyiwa mabadiliko kwa sheria za udhibiti wa silaha nchini Marekani ili kupunguza idadi ya watu wanaoshambuliwa na kuuawa kwa Risasi...
View ArticleMWIGULU NCHEMBA ATUMBUA MAJIPU MENGINE IRINGA......AWASIMAMISHA KAZI VIONGOZI...
Waziri wa Kilimo, Uvuvi na Mifugo, Mwigulu Nchemba amewasimamisha kazi viongozi wa vyama vya msingi vya tumbaku mkoani Iringa wanaotuhumiwa kushiriki katika ufisadi wa mkopo wa matrekta 9 kupitia...
View ArticleWAZIRI MKUU ATOA ONYO KALI KWA MADAKTARI WANAOTOA MIMBA WANAWAKE.....AAPA...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsalimia Josephine John ambaye amelazwa katika hospitali ya mkoa wa Ruvuma kwa matibabu. Alikuwa katika ziara ya mkoa huo Januari5, 2016.********Waziri Mkuu Kassim...
View ArticleSERIKALI YAAMURU WALIOVAMIA SHAMBA LA SUMAYE WAONDOKE
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki amewataka waliovamia na kujigawia maeneo ya watu wengine likiwamo la Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye na aliyewahi kuwa Naibu Waziri wa Ardhi,...
View ArticleWAZIRI MAGHEMBE ATEMA CHECHE......AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI PAMOJA NA...
Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Jumanne Maghembeamemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Mipango na Matumizi Endelevu ya Rasilimali za Misitu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Bw. Mohammed...
View ArticleZITTO: RAIS MAGUFULI AMESHAIPOTEZEA NCHI MAPATO YA BILIONI 8 TANGU AINGIE...
Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Kabwe ameilalamikia serikali ya Magufuli kwa kitendo chake cha kukaa kimya kuhusu ufisadi unaoendelea kufanywa na Harbinder Singh Seth, mmiliki wa IPTL ambaye huvuna kiasi...
View ArticleTHROUGH HERE ALL NEWS PAPER TODAY JANUARY 7,2016 FOR GOSSIP,SPORTS AND HARD NEWS
THROUGH HERE ALL NEWS PAPER TODAY JANUARY 7,2016 FOR GOSSIP,SPORTS AND HARD NEWS
View ArticleBREAKING NEWZZZ!!! ABIRIA 269 WANUSURIKA KUFA ZIWA VICTORIA
ABIRIA 269 waliokuwa wakisafiri kutoka Mwanza kuelekea wilayani Bukoba, wamenusurika kufa baada ya meli ya Mv Serengeti waliokuwa wakisafiria kupata hitilafu ya injini katika ziwa Victoria.Meli ya Mv...
View Article"MIMI NDIYE RAIS HALALI WA ZANZIBAR NA NISIPOSEMA MIMI NITAWATUMA WASAIDIZI...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema yeye bado ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa mujibu wa Katiba...
View ArticleJUMUIYA ZA KIISLAMU ZANZIBAR ZAPINGA UCHAGUZI KURUDIWA......ZAMLILIA RAIS...
TAMKO LA JUMUIYA YA MAIMAMU ZANZIBAR (JUMAZA) KWA KUSHIRIKIANA NA TAASISI ZA KIISLAM ZANZIBAR KWA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU MGOGORO WA KISIASA ZANZIBAR TAREHE 6-1-2016 KATIKA UKUMBI WA UMOJA WA...
View ArticleBilioni 18.77 Zimetumwa Kwenye Akaunti Za Shule Za Msingi Na Sekondari Hapa...
KIASI cha shilingi bilioni 18.77 zimetumwa kwenye akaunti za shule za Msingi na Sekondari za halmashauri zote hapa nchini kwaajili ya wanafunzi kusoma bure.Hayo yamesemwa na Waziri wa fedha na Mipango,...
View ArticleRais Magufuli Akutana Na Kufanya Mazungumnzo Na Rais Mstaafu, Benjamini Mkapa...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea Rais Mstaafu wa Awamu ya tatu, Benjamini William Mkapa Ikulu jijini Dar es Salaam January 7,2016. Rais wa Jamhuri ya Muungano...
View ArticleTHROUGH HERE ALL NEWS PAPER TODAY JANUARY 8,2016 FOR GOSSIP,SPORTS AND HARD NEWS
THROUGH HERE ALL NEWS PAPER TODAY JANUARY 8,2016 FOR GOSSIP,SPORTS AND HARD NEWS
View ArticleWAZIRI MKUU ARIDHISHWA NA HUDUMA ZA MATIBABU WANAZOPEWA WAZEE
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa amefarijika kuona wazee wanapata huduma za matibabu bure na kwa utaratibu mzuri katika hospitali ya Mkoa wa Ruvuma.Akizungumza na madaktari, wauguzi na...
View ArticleASKOFU PENGO: "MUHIMBILI PANATOSHA NA NIMERIDHIKA NA HUDUMA ZA HAPA, SIONI...
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Katoliki la Dar es salaam,Muadhama, Kardinali Pengo amesema kwamba ameridhishwa na huduma za afya zinazotolewa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili(MNH), hivyo itakuwa...
View ArticleMAALIM SEIF AFUNGUKA KUHUSU UCHAGUZI ZANZIBAR.......AWATAKA WAZANZIBARI...
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amesema juhudi za kuutafutia ufumbuzi mkwamo wa kisiasa Zanzibar zinaendelea, na kuwataka wananchi waendelee kuwa watulivu.Amesema katika...
View Article[AUDIO] WASTARA AZUNGUMZIA ALIVYOINADI CCM NA NYUMBA ZAKE KUWEKEWA ALAMA "X"
Wastara Juma ni mmoja wa wasanii maarufu wa filamu nchini Tanzania.Katika audio inayosikika kwenye video iliyopachikwa hapo chini, anazungumzia anazungumzia kuhusu nyumba zake kuwekwa alama ya "X" kwa...
View Article