Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKE WA MHESHIMIWA LOWASSA AKATAA UBUNGE CHADEMA...ADAI ATAKOMAA NA AKINA MAMA...

Mke wa aliyekuwa Mgombea Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Mama Regina Lowassa.******* Mke wa aliyekuwa Mgombea Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Mama Regina Lowassa,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FULL TIME YA ARSENAL VS TOTTENHAM NA MATOKEO YA MECHI NYINGINE ZA UINGEREZA...

Ikiwa msimu wa mwaka 2015/2016 wa Ligi Kuu Uingereza unatajwa kuwa sio mzuri kwa kocha wa klabu ya Chelsea ya Uingereza Jose Mourinho kiasi cha jana kuvunja rekodi yake kwani hakuwahi kufungwa mechi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FULL TIME YA FC BARCELONA VS VILLARREAL NOVEMBER 8 (+PICHAZ&VIDEO)

Kivumbi cha Ligi Kuu Hispania kimeendelea tena Jumapili ya November 8 kwa michezo minne kupigwa katika viwanja tofauti tofauti, klabu ya FC Barcelona ambayo bado inaendelea kumkosa staa wa kimataifa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FULL TIME YA FAINALI YA TP MAZEMBE VS USM ALGER, MBWANA SAMATTA KWENYE...

Licha ya kuwa Jumapili ya November 8 kuna michezo kadhaa inapigwa barani Ulaya ila mchezo wa fainali ya pili ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika ndio mchezo uliyokuwa umevuta hisia za watu wengi barani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BABU SEYA ATUA MAHAKAMA YA AFRIKA......AWASILISHA HOJA TATU, ALIA NA SERIKALI...

Hatimaye mwanamuziki, Nguza Viking maarufu kama Babu Seya na mwanae, Johnson Nguza ‘Papii Kocha’, wametua katika Mahakama ya Haki za Binadamu Afrika (AFCPHR) Arusha.Wanamuziki hao wamekata rufaa dhidi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWZZZZ!!!! NIKO TAYARI KUKAMATWA-MAALIM SEIF

Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amesema yuko tayari kukamatwa na kufikishwa mahakamani kujibu mashtaka, kama kitendo chake cha kujitangazia ushindi ni kosa.Maalim Seif alikuwa akizungumza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEMA: HATA NIKIZEEKA NYOTA IPO PALEPALE...UNAJUA ANAMAANISHA NINI BOFYA HAPA

Mtoto mzuri Bongo, Wema Isaac Sepetu.Nyota na ing’ae! Mtoto mzuri Bongo, Wema Isaac Sepetu ameliambia Ijumaa Wikienda kuwa hata kama akizeeka na kuwa kikongwe, bado nyota yake itaendelea kung’aa siku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND: ZARI AMEMHARIBU TIFFAH!...AKUISHIA HAPO KATAMKA MANENO HAYA MAKALI...

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’Kila kitu ukizidisha ni sumu! Ndivyo ilivyotokea kwa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ambaye anadaiwa kumtupia lawama mzazi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YAMEMKUTA!!!! CHUCHU HANS AKATALIWA KWA AKINA RAY...KISA KIZIMA HIKI HAPAA

Yamemkuta! Staa wa sinema za Kibongo, Chuchu Hans anadaiwa kukataliwa na baadhi ya ndugu wa mwandani wake, Vincent Kigosi ‘Ray’ hivyo kuzidi kufifia kwa penzi lao.Staa wa sinema za Kibongo, Vincent...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEMA, IDRISS, WAONESHANA MAHABA LIVE IKULU

MASTAA wa Bongo, Idriss Sultan na Wema Sepetu, Alhamisi iliyopita walikuwa kwenye Ikulu ya Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli wakionesha mahaba yao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWZZZZ!!!! POLISI YAMNASA KIJANA NA MABOMU KUMI

Mfano wa mabomu ambayo yamekamatwa kutoka kwa kijana huyo.JAMANI! Siku chache tu kufuatia Jeshi la Polisi Tanzania kupitia msemaji wake, Advera Bulimba kupiga marufuku maandamano na mikusanyiko ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKUSUDIA KUPUNGUZA WIZARA 8 KATI YA WIZARA 28...

Siku chache baada  ya  kufuta  safari  za  vigogo  nje ya  nchi,Rais  wa  Jamhuri  ya  Muungano  wa  Tanzania  Dr John Magufuli  anakusudia  kufyeka wizara  8  miongoni  mwa  28  zilizopo  sasa  ili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOFIA YA 'M4C' YATAJWA KAMA KIGEZO CHA KUMVUA UBUNGE PETER MSIGWA

Aliyekuwa mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM, Frederick Mwakalebela amefungua kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa Ubunge wa jimbo la Iringa mjini yaliyompa ushindi Mchungaji Peter Msigwa wa Chadema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZITTO KABWE ATOA USHAURI MUHIMU KWA RAIS MAGUFULI UTAKAOSAIDIA KULETA...

Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ametoa ushauri wake kwa kiongozi mkuu wa nchi ili kuleta mabadiliko makubwa katika mfumo.  Zitto ameandika kupitia ukurasa wake wa Facebook, japo hakutaja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HERE ARE ALL TANZANIAN NEWSPAPERS THIS WEASDAY NOV 11,2015, FOR HARD NEWS,...

I have set here headlines of various Tanzania News paper today, spend your time to read what is written here...........................

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEMA, AUNT WAKWEPANA IKULU...ETI KISA KISA CHENYEWE HIKI HAPAAAA

Staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu.MAHASIMU wawili katika anga la mastaa, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel wiki iliyopita walikwepana na kushindwa kusalimiana, licha ya wote kuwa waalikwa katika hafla maalum...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DUUUUUUUH!!!!!!!!! JB ALISHWA SUMU!

Habari mbaya iliyolifikia gazeti hili imeeleza kwamba, staa wa sinema za Kibongo, Jacob Stephen ‘JB’ amenusurika kifo baada ya kudaiwa kulishwa sumu na kujikuta katika hali mbaya kiafya kabla ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIYAMA KUWASAKA WANAOMTUMIA KIIIVIIII

Msanii wa filamu Bongo Riyama Ally.MSANII wa filamu Bongo Riyama Ally amesema baadhi ya wasanii wanaomhitaji na kucheza nao filamu, huuza baadhi ya vipande vya filamu anazocheza bila idhini yake, jambo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AUNTY LULU: WASTARA KUBALI YAISHE

BAADA ya hivi karibuni wasanii wa filamu waliokuwa wapenzi, Wastara Juma na Bond Suleiman kutengana, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ ameibuka na kumshauri staa huyo kukubaliana na matokeo. Lulu Semagongo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEMBE ATOA KAULI NZITO BAADA YA RAIS MAGUFULI KUPIGA MARUFUKU SAFARI ZA NJE...

 Dar es Salaam. Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amempongeza Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli kwa kupiga marufuku safari za nje ya nchi, akisema...

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live