Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais Asema Serikali Itaendelea Kushirikiana na Wadau Mbalimbali...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Serikali itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali katika kuhakikisha rasilimali ya gesi na mafuta inakuwa ni chachu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jeshi La Polisi Laanza Uchunguzi Dhidi ya Mteja wa NMB Alivyofuatiliwa baada...

Jeshi la Polisi linafanya uchunguzi namna mtu mmoja alivyofuatiliwa na watu wasiojulikana alipotoka benki kuchukua fedha hadi wakampora mfuko uliokuwa na kiasi cha Sh15 milioni muda mfupi baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sakata la Oparesheni UKUTA: Viongozi wa Dini Waendelea Kusubiri Maombi Yao...

Viongozi wa dini nchini waliopanga kumwona Rais John Magufuli kwa mazungumzo kuhusu hali ya siasa nchini wanaendelea kusubiri maombi yao kujibiwa licha ya kupita zaidi ya siku 90 sasa. Mkuu wa Kanisa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chadema Kukusanya Bilioni 13.9 Kwa Mwaka Kupitia Kadi Mpya za Wanachama...

Chadema imetangaza kuwa Januari itaanza kutumia kadi mpya za uanachama za kielektroniki, zitakazoiwezesha kukusanya Sh13.9 bilioni kwa mwaka na kupunguza utegemezi wa ruzuku ya Serikali.Mkakati huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mawakili Kesi ya Godbless Lema Wagonga Mwamba Mahakamani, Arudishwa Tena...

Mbunge  wa Arusha Mjini, Godbless Lema ameendelea kusota katika mahabusu ya Gereza la Kisongo mjini Arusha akiingiza siku ya 22 leo baada ya jana kukwama katika azma yake ya kutaka Mahakama Kuu Kanda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndalichako Awalaumu Wazazi Kuwa chanzo cha kushuka kwa maadili miongoni mwa...

Serikali  imewalaumu wazazi kuwa ni chanzo cha kushuka kwa maadili miongoni mwa wanafunzi, kwa kuwa kama walezi, hawana ushirikiano mzuri na walimu.Kutokana na hali hiyo, imesema walimu wameacha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pitia Hapa Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Ijumaa Nov 25,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yafunguka kuhusu fao la kujitoa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Kazi Ajira na Vijana) Bibi Jenista Mhagama amesema serikali itakaa na wadau ili kuangalia namna ya kulimaliza sakata la fao la kujitoa katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Siku ya Maulid kuadhimishwa kwa usafi, kupanda miti na kuchangia damu

Waislamu wote nchini wametakiwa kuadhimisha Siku ya Maulid kwa kufanya usafi, kupanda miti na kuchangia damu.Aidha, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Siku ya Maulid ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mikoa Mitano inayoongoza kwa Ndoa za utotoni Tanzania

Tanzania imetajwa kuwa ni moja kati ya nchi zenye viwango vya juu vya matukio ya ndoa za utotoni. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) katika utafiti uliochapishwa mnamo Januari, 2016 uliitaja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mawakili wa Lema wakata rufaa kudai dhamana, Rufaa hiyo Itasikilizwa Jumatatu

Hatimaye  rufaa ya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema iliyokatwa na mawakili wake itasikilizwa Jumatatu ijayo.Rufaa hiyo itasikilizwa na Jaji Fatma Masengi ya kuomba mbunge huyo kupewa dhamana baada...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mikoa inayoongoza kwa maambukizi ya virusi vya ukimwi nchini Tanzania

Mikoa ya Tabora, Katavi na Rukwa imetajwa kuwa ni miongoni  mwa mikoa  10 inayoongoza kwa maambukizi  ya virusi vya ukimwi.Hiyo ni  kwa mujibu wa takwimu za mwaka 2011/2012 za Taasisi ya Mkapa.Taarifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakenya watamani Rais Magufuli awe Rais wao angalau kwa mwaka mmoja

Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini Kenya (COTU), Bw. Francis Atwoli amesema anaikubalia kasi ya Rais Magufuli katika kupambana na rushwa.Pia amewataka Watanzania wamuunge mkono...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majaliwa awavaa waajiri wanaonyanyasa wafanyakazi, atoa kauli kuhusu viongozi...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali haitawavumilia waajiri ambao hawatoi mikataba ya ajira kwa wafanyakazi wao na amewaonya waache tabia hiyo mara moja.Ametoa agizo hilo jana (Jumatano,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanafunzi Apigwa Risasi na Polisi Dar, Askari Wawili Watiwa Mbaroni

Mwanafunzi wa kidato cha kwanza wa Shule ya Sekondari Gerezani, Shakil Sures amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) baada ya kujeruhiwa kwa risasi na polisi kwenye mazingira ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC Makonda Aamuru Mwenyekiti wa Mtuu Akamtwe na Kuwekwa Rumande Hadi...

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda jana  aliliagiza jeshi la polisi kumkamata mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Gongolamboto, Bakari Shingo baada ya kutuhumiwa kukusanya mapato kwa kutumia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Nape Nnauye Alitembelea Kundi la Wasafi Classic Linaloongozwa na...

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mheshimiwa Nape Nnauye ametembelea ofisi za Kundi la musiki wa kizazi kipya la Wasafi.Pamoja na mambo mengine uongozi wa kundi hilo umemuomba waziri huyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wataalam wa afya kuanza kusajiliwa na kupewa leseni

Wataalamu mbalimbali wa sekta ya afya, sasa wataanza kusajiliwa na kupewa leseni zitakazowatambulisha na zitakuwa na masharti maalumu.Hayo yamesema na Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Muhammad Kambi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Ataja Sababu za Kuitumbua Bodi ya Wakurugenzi TRA

RAIS John Magufuli amefichua siri ya hatua yake ya kuitumbua Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).Amesema alilazimika kuchukua hatua hiyo baada ya bodi hiyo kuidhinisha Sh bilioni 26...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: Rais Magufuli akieleza sababu ya kuvunja Bodi ya Mamlaka ya Mapato TRA

RAIS John Magufuli amefichua siri ya hatua yake ya kuitumbua Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).Amesema alilazimika kuchukua hatua hiyo baada ya bodi hiyo kuidhinisha Sh bilioni 26...

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live