Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ripoti ya uchunguzi wa mali za BAKWATA yakabidhiwa

Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakari Zuber  jana amekabidhiwa ripoti ya awali iliyoandaliwa na tume ambayo ameiunda  kwa ajili ya kufanya uchunguzi  na kuzibainisha  mali zote za  Baraza kuu la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kampeni ya kumng’oa Trump yashika kasi

Ndoto za Donald Trump aliyechaguliwa hivi karibuni kuwa Rais wa 45 wa Marekani huenda zikayeyuka baada ya wajumbe sita wa Democratic watakaopiga kura za majimbo kuanzisha kampeni maalumu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli amualika Rais wa Zambia kwa ziara ya siku 3

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Augustine Mahiga, amesema Rais Edgar Lungu wa Zambia anatarajiwa kufanya ziara rasmi ya siku tatu nchini kuanzia Novemba 27 kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shilingi bilioni 3 zatafunwa kununulia mafuta katika 'magari hewa'

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Posta Tanzania Luteni Kanali Mstaafu Dkt. Haroun Kondo (Kushoto)  **Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Posta Tanzania imeuagiza uongozi wa shirika hilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Muhimbili yafanya upasuaji Mkubwa wa kihistoria wa Kuhamisha Misuli

Madaktari wa Hospitali ya Taifa Muhimbili jana kwa mara ya kwanza wamefanya upasuaji kwa kutumia darubini (microvascular surgery) wa kuhamisha misuli na mishipa ya damu kutoka kwenye mguu kwenda sehemu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makonda azidi kuwabana wenyeviti wa Mitaa, Amburuza mwingine rumande

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda jana  aliliagiza jeshi la polisi kumkamata mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Zavala kata ya Buyuni Ilala, Chiku Said baada ya kutuhumiwa kuuza viwanja vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafuasi wa CUF Watwangana Ngumi Mahakamani, Mawakili Wawasilisha Ombi la...

Wafuasi  wa Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba na Katibu Mkuu wa Chama hicho,  Maalim Seif Sharif Hamad jana waligeuka sinema ya bure baada ya kutwangana makonde hadharani katika Mahakama Kuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pitia Hapa Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumatatu Nov 28,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Salamu za Rambirambi za Rais Magufuli Kufuatia Kifo cha Rais Mstaafu wa Cuba,...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, John Pombe Magufuli, amemtumia salamu za rambirambi Rais wa Jamhuri ya Cuba Mhe. Raul Castro kufuatia kifo cha Rais Mstaafu wa Cuba Mhe. Fidel Castro...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli atunuku Kamisheni kwa Maafisa Wapya wa JWTZ Ikulu Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli, jana tarehe 26 Novemba, 2016 ametunuku Kamisheni kwa Maafisa Wanafunzi 194 wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yampokonya Sumaye shamba lake lenye ukubwa wa hekta 33

Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amepokonywa na Serikali shamba lake lenye ukubwa wa hekta 33 kwa kile kilichoelezwa kushindwa kuliendeleza.Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ally Hapi amesema kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa Awajibu wanasiasa waliodai ni mgonjwa na atakufa

Aliyekuwa  mgombea urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amewashukuru wananchi kwa kumpigia kura kwa wingi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Apokea Marais Wawili Ikulu Jijini Dar es Salaam

RAIS John Magufuli jana aliwapokea marais wawili, Edgar Lungu wa Zambia aliyewasili kwa ziara ya kiserikali na Idriss Deby wa Chad aliyekuja kikazi.Tofauti na Lungu ambaye ziara yake ilifahamika tangu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mchungaji Anthony Lusekelo maarufu 'Mzee wa Upako' Afunguka Kuhusu Sakata la...

Siku tatu baada ya kudaiwa kumfanyia fujo jirani yake, Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC), Anthony Lusekelo maarufu Mzee wa Upako, amejibu tuhuma hizo akisema anaishi kana kwamba hana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hatima ya dhamana ya Godbless Lema kujulikana leo

Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema, leo, anatarajia kujua hatima ya dhamana ya kesi ya uchochezi inayomkabili.Lema anashikiliwa katika mahabusu ya Magereza ya Kisongo mjini Arusha.Wakili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CUF Yanyimwa Ruzuku, Maalim Seif Ataja Hujuma 9 Zinazofanywa na Profesa Lipumba

Katibu  Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, ameibuka na kutaja utatu unaojumuisha mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba, Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi na Jeshi la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pitia Hapa Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumanne Nov 29,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jiji la Mbeya ni la pili kwa wingi wa madhehebu barani Afrika likiongozwa na...

Jiji la Mbeya ni la pili kwa wingi wa madhehebu barani Afrika likiongozwa na Lagos lililopo Nigeria.Kwa mujibu wa Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Paul Ntinika, jiji hilo lina makanisa 450  na Mtaa wa Sae...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC Makonda atembelea Uwanja wa Fisi wanapofanya biashara ya ngono, Aahidi...

Jumapili Novemba 27 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda aliendelea na ziara yake katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam akiwa na lengo la kusikiliza kero za wananchi na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond, Ali Kiba, Vanessa Mdee na Navy Kenzo kuwania tuzo Nigeria... Tazama...

Kituo cha runinga cha Sound City (Sound City Tv) kimetoa orodha ya wasanii na vipingele watakavyowani katika tuzo za Sound City MVP.  Kwa upande wa Tanzania, katika tuzo hizo tutawakilishwa na Diamond...

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live