Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kesi ya kwanza yaanza Kusikilizwa Mahakama ya Mafisadi Dar

Hatimaye Mahakama Kuu Kitengo cha Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi maarufu kama Mahakama ya Ufisadi imeanza rasmi usikilizaji wa kesi jana.Kesi ya kwanza kutua na kusikilizwa na Mahakama hiyo ambayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ufafanuzi wa tuhuma za Freeman Mbowe Kwa wabunge wa CCM kupewa rushwa ya mil 10

Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe jana alisababisha taharuki katika kikao cha Bunge baada ya kuzusha tuhuma za rushwa kwa wabunge wa CCM katika kipindi cha maswali na majibu na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa ya hatua iliyofikiwa katika mchakato wa ujenzi wa reli ya standard...

Serikali ya Awamu ya Tano ndani ya mwaka mmoja imeanza mipango ya kuboresha usafiri wa reli ya Kati kwa kuijenga kwa kiwango cha kimataifa yaani Standard Gauge. Usafiri huu utaongeza fursa za kiuchumi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yaliyojiri Kutoka Ikulu: Mahojiano ya Rais John Magufuli na Wahariri wa...

Rais Magufuli: Niwashukuru sana kwa michango yenu mikubwa katika maeneo yenu ya kazi.Swali(Tido Mhando): Ulichukua muda kuunda baraza la mawaziri, Je Katika tathmini hiyo wanafanya kazi kulingana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli ajibu madai ya kukandamiza demokrasia na Udikteta

Rais John Magufuli ameyatolea majibu malalamiko yaliyokuwa yakitolewa na baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani nchini kuwa amekuwa akikandamiza demokrasia tangu alipoingia madarakani.Akijibu swali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pitia Hapa Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumatatu Nov 07,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ajali Mbaya ya Noah na Lori la Mizigo Yaua watu 17 Mkoani Shinyanya

Watu 17 wamefariki dunia katika ajali iliyohusisha lori la mizigo aina ya Scania lenye namba za usajili T198CBQ na Noah ya abiria yenye namba za usajili T232BQR iliyotokea jana usiku katika kijiji cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News: Spika wa Bunge Mstaafu Samwel Sitta Afariki Dunia

Spika wa Bunge Mstaafu, Samuel Sitta (74) amefariki dunia usiku wa kuamkia leo wakati akipatiwa matibabu nchini Ujerumani.Mtoto wa marehemu, Benjamin Sitta amesema baba yake amefariki saa 10:00 usiku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waliokula Fedha za Mikopo Elimu ya Juu Kitanzini, Sheria Yarekebishwa...

Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Sheria Mbalimbali Namba 3 wa Mwaka 2016 unatarajiwa kuwasilishwa bungeni leo, ukigusa sheria tisa ikiwemo ya Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu ambapo sasa mnufaika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Atuma Salamu za Rambirambi Kufuatia Kifo cha Spika Mstaafu Mhe....

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai kufuatia kifo cha Spika Mstaafu na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msimamo wa Rais Magufuli Kuhusu Katiba Mpya Wamtesa Tundu Lissu

Siku tatu baada ya Rais John Magufuli kueleza bayana kwamba suala la Katiba Mpya si kipaumbele chake kwa sasa akitaka aachwe ili ainyooshe nchi kwanza, Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu amesema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAKUKURU Yajitosa Kuchunguza Tuhuma za Wabunge wa CCM Kuhongwa Milioni 10

Taasisi ya Kuzuia na Kupambanana Rushwa (Takukuru) imeanza kuchunguza tuhuma zilizoibuliwa Bungeni kuwa Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) walipewa rushwa ya shilingi milioni 10.  Tuhuma hizo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video: Ommy Dimpoz Na Alikiba Wamekuletea wimbo mpya “KAJIANDAE” Tazama hapa

Hii inakuwa kolabo ya pili kati ya Ommy Dimpoz na Alikiba baada ya miaka minne. Alikiba yuko chini ya usimamizi wa Studio ya Kimataifa ya ROCKSTAR4000 na Rockstar Publishing wakati Ommy Dimpoz yuko...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkataba wa EPA pasua kichwa, Wabunge Kuamua Hatima Yake

MKATABA wa Uhusiano wa Uchumi na Biashara Kati ya Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki na Ulaya (EPA), umegeuka kaa la moto baada ya mtalaamu wa sheria wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pitia Hapa Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumanne Nov 08,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM Yatuma Salamu Za Rambi Rambi Kifo Cha Mzee Samwel Sitta

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepokea kwa majonzi na simanzi kubwa taarifa za kifo cha Mhe. Samuel John Sitta, Spika mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kilichotokea usiku wa jana tarehe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bodi Ya Pamba Kuhamia Mwanza

Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO, DodomaWizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi imejipanga kuhamishia Bodi ya Pamba katika Mkoa wa Mwanza kabla ya Novemba 10 mwaka huu ili kuhakikisha wakulima wa pamba waliopo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzia: Mwenyekiti wa Klabu ya Azam, Said Mohammed afariki dunia

Uongozi wa Klabu ya Azam FC kwa masikitiko makubwa, unatangaza kifo cha mwenyekiti wake, Mzee Said Mohamed Abeid, kilichotokea alasir ya  Novemba 7, 2016, katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hospitali Ya Taifa Muhimbili Yapokea Msaada Wa Mashine Kubwa Ya Utrasound...

Hospitali ya Taifa Muhimbili imepokea  msaada wa mashine kubwa na ya kisasa  ya Utra Sound maalum  kwa ajili ya kuwahudumia wagonjwa wenye matatizo ya Figo.Msaada huo umetolewa  jana na Hospitali ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania Yachaguliwa Kuongoza Mkutano Wa Kimataifa Wa Wamiliki Wa Kampuni

Kufuatia uchumi wa Tanzania kuzidi kukua na kushika nafasi ya kwanza kwa ukuaji uchumi katika ukanda wa Afrika Mashariki, pamoja na jitihada zake za kuifanya nchi kuwa na uchumi wa kati kupitia...

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live