Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yaanza Kuhakiki Vyeti Vya Ndoa Kwa Watumishi Wa Umma

Gazeti la Tanzania Daima limeripoti kuwa Serikali imeanza uhakiki wa vyeti vya ndoa kwa watumishi wa umma. Hatua hiyo ambayo imewashtua watumishi wengi wa umma, imeelezwa kuwa ni mwendelezo wa harakati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mali Za Kampuni Ya Mohamed Trans Kupigwa Mnada Kisa Madeni

Mali za kampuni ya Mohamed Trans Limited zitapigwa mnada na Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) baada ya kushindwa kulipa limbikizo lake la kodi analodaiwa. Kampuni hiyo pamoja na mali nyingine, inamiliki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli na Rais Kenyatta wazindua barabara ya Southern By-pass huko...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta leo tarehe 01 Novemba, 2016 wamezindua barabara ya Southern By-pass iliyojengwa kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pitia Hapa Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumatano Nov 02,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yawatumbua Watumishi 1663 Kwa Kuzalisha Watumishi Hewa

Na Eleuteri Mangi, MAELEZO, DodomaWatumishi wa Umma 1,663 kutoka Wizara, Idara zinazojitegemea, Wakala za Serikali, Sekretarieti za Mikoa, na Mamlaka za Serikali za Mitaa wamechukuliwa hatua za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Arejea Nyumbani Baada Ya Ziara Ya Kiserikali Ya Siku Mbili...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akitelemka kwenye ndege baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Nairobi,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Kuhusu taharuki ya Moto uliolipuka kwenye bandari ya Dar es salaam

Jana Nov 1 2016 katika Bandari ya Dar es salaam kulitokea moto ambao ulizua taharuki kwa baadhi ya wafanyakazi na watu wengine waliokuwa eneo hilo la bandari. Moto huo ulilipuka kwenye makontena na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKAWA Wanyakua Umeya Manispaa ya Ubungo

Diwani wa Ubungo, Boniface Jacob kwa tiketi ya CHADEMA ameshinda kiti cha Umeya wa Manispaa ya Ubungo baada ya kupata jumla ya kura 16 huku akimuacha mbali mpinzani wake wa CCM, Yusuph Yenga aliyepata...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mpango ataja vipaumbele vya Serikali katika bajeti ya 2017/18

Serikali imeainisha maeneo ya kipaumbele kwa mwaka 2017/2018 kulingana na mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka ujao wa fedha.Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango alisema hayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yavipa siku mbili vyuo vikuu ambavyo havijatuma matokeo ya wanafunzi...

Serikali kupitia Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Maimuna Tarish imevitaka vyuo vikuu 14 ambavyo havijatuma matokeo ya wanafunzi wao ya mwaka uliopita kwa Bodi ya Mikopo kutuma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bunduki 11 za Ujangili zakutwa nyumbani kwa Mbunge

Kasi ya kupambana na ujangili iliyoongezwa na Rais John Magufuli imeendelea kuzaa matunda huku Kikosi Kazi Maalum kilichoundwa kikiripotiwa kukamata bunduki 11 nyumbani kwa mbunge.Kwa mujibu wa chanzo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Godbless Lema Ahojiwa Polisi Kwa Kumkashfu Rais Magufuli, Mkewe Afikishwa...

Neema Lema (33), mke wa Mbunge wa   Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha.Alifikishwa  mahakamani hapo jana na kuunganishwa katika kesi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwaka Mmoja Wa Rais Magufuli: TRA Yavuka Lengo La Makusanyo Ya Mapato

Na JOVINA BUJULU- MAELEZONovemba Tano mwaka huu ni mwaka mmoja tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli alipoapishwa kuwa kiongozi na Amri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahakama Yamtia Hatiani Lady Jaydee, Yamwamuru Amuombe Radhi Ruge wa Clouds...

Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni imemkuta na hatia mwanamuziki Judith Wambura maarufu Lady Jaydee kumkashifu Mkurugenzi Mtendaji wa Clouds Media Group, Joseph Kusaga pamoja na Mkurugenzi wa Vipindi na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pitia Hapa Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Ijumaa Nov 04,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema aswekwa mahabusu kwa mahojiano zaidi

Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema, amesafirishwa kutoka Mkoani Dodoma usiku wa kumkia jana na kuswekwa kwa mara nyingine tena Mahabusu Mkoani Arusha kwa mahojiano ya kutoa lugha za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu: Serikali Haijafilisika

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema hadi kufikia Oktoba mwaka huu, Serikali imekwishapeleka zaidi ya sh. bilioni 177 kwenye halmashauri mbalimbali nchini ili kutekeleza miradi ya maendeleo.Ametoa kauli...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TMA yatahadharisha nchi kukumbwa na ukame

Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini (TMA) - imeendelea kuwataka Wakulima kufuatilia kwa ukaribu Taarifa za hali ya hewa pamoja na kuzingatia maelekezo ya wataalamu wa kilimo.Hatua hiyo inatokana na uwepo wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lugora: Mawaziri acheni kumpotosha Rais

MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugora (CCM) amewaonya baadhi ya mawaziri kutompotosha Rais John Magufuli kuwa fedha zimepotea, kutokana na baadhi ya watu kuficha majumbani kwenye magodoro wakati hiyo si...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Walimu Watatu Watiwa Mbaroni Kwa Kuwazuia Wanafunzi Kufanya Mtihani wa Kidato...

POLISI mkoani Dodoma inawashikilia walimu watatu wa shule za sekondari kwa tuhuma ya kuwazuia wanafunzi wa kidato cha nne, kufanya Mtihani wa Taifa.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Lazaro Mambosasa...

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live