Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege Tanzania asimamishwa kazi kwa uzembe

Waziri wa Ujenzi Prof. Makame Mbarawa amemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege ATCL Kapten Johnson Mfinanga na Mkurugenzi wa Uendeshaji Kapten Sadick Muze kwa kosa la kumchagua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Babu Atiwa mbaroni kwa kumbaka mjukuu wake

JESHI la Polisi, Mkoa wa Kilimanjaro, linamshikilia mtu mmoja kwa tuhuma za kumbaka mjukuu wake mwenye umri wa miaka 12.Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Kilimanjaro, Wilbrod Mutafungwa, aliwaambia waandishi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwenyekiti wa mtaa adaiwa kumpa mimba mwanafunzi

Mwenyekiti wa Mtaa wa Sangabuye, kata ya Igombe wilayani Ilemela mkoani Mwanza anayejulikana kwa jina la John Mayala anashikiliwa na polisi kwa kosa la kumtorosha na kumpa ujauzito...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vyama 9 Vya Siasa Nchini Kufutwa Kutokana na Kutokidhi Vigezo Vta Kisheria

Vyama tisa vya siasa kati ya 22 vyenye usajili wa kudumu vipo hatarini kufutwa kutokana na kushindwa kukidhi vigezo na matakwa ya kisheria yaliyoviwezesha kupata usajili wa kudumu. Hatua ya kufutwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uchawi Ni Utumwa : Nilimlisha Mume Wa Mtu Limbwata La Nyama Ya Bundi- Sehemu...

SEHEMU YA PILI….NASHIRIKI KUMFUNGA KICHAWI MUME WA MTU….Katika makala yangu yaliyopita , nilieleza jinsi mungu wa kabili alivyo niambia kuwa nina nyota ya uganga na hivyo ninatakiwa kusimikwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tundu Lissu: Barua ya Sekretarieti ya Maadili ni njama ya kutengeneza...

TUMECHOKA kuvumilia! Ni kauli ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) baada ya kudai kusakamwa na Serikali .Chama hicho kimetoa kauli hiyo leo mbele ya waandishi wa habari jijini Dar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mfumuko Wa Bei Wa Taifa Wa Mwezi Julai 2016 Umepungua Hadi Asilimia 5.1.

Na. Aron Msigwa – Dar es salaam.OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU (NBS) imetangaza mfumuko wa Bei wa Taifa wa mwezi Julai 2016 na kueleza kuwa umepungua hadi kufikia asilimia 5.1 kutoka asilimia 5.5...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AUDIO: Tundu Lissu Amjibu Rais Magufuli

Jumanee ya leo August 9 2016 Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimekutana na waandishi wa habari Dar es salaam kutoa taarifa kwa umma kuhusu taarifa za vitisho wanazokuwa wakizipata kutoka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bw. Hassan Abbas ateuliwa kuwa mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO)

Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Moses Nnauye amemtangaza  Bw.Hassan Abbas kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO  na Msemaji Mkuu wa Serikali  kuanzia Agosti 5 Mwaka huu.Uteuzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa agundua Ufisadi wa Kutisha soko la...

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwenda kufanya ukaguzi maalumu katika Halmashauri ya Jiji la Mbeya baada ya kuwepo kwa ubadhilifu katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahakama Kuu Yampunguza MAKALI Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini (DPP)

MAMLAKA ya kugomea dhamana za watuhumiwa aliyokuwa nayo Biswalo Mganga, Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), sasa imeondolewa na mahakama kuu.Awali, DPP alikuwa na uwezo wa kuzuia  dhamana za baadhi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Freeman Mbowe na Tundu Lissu Waitwa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Mwanasheria wa chama hicho, Tundu Lissu wameandikiwa barua na Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, wakitakiwa kujieleza kwa matamko yao waliyoyatoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Godbless Lema Amtumia Waraka Mzito Rais Magufuli

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema), amemuandikia waraka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli akimsihi kuruhusu kufanyika kwa mikutano ya kisiasa nchini bila kujali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano ya Agosti 17

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano ya Agosti 17

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yasitisha Fedha za 'field' kwa wiki mbili

Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Prof Joyce Ndalichako amesema wizara hiyo imelazimika kusitisha malipo ya fedha za mafunzo kwa vitendo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kwa muda wa wiki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamishna Wa TRA Azindua Kampeni Ya Uhakiki Wa Namba Ya Mlipa Kodi (TIN)

Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA imewataka wafanyabiashara katika jiji la Dar es salaam kuboresha taarifa za usajili wa namba ya utambulisho wa mlipa kodi (TIN) ili kuondokana na mfumo wa kizamani wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkurugenzi amwaga machozi mbele ya Kamati ya Bunge

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo mkoa wa Morogoro, Agnes Mkandya amemwaga machozi alipokuwa akiulizwa maswali na Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC).Tukio hilo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: Masanja akitoa adhabu kwa wanaochelewa kuoa, kaanza na MC pilipili

Mchekeshaji kutoka kwenye kundi la Original Komedi, Emmanuel Mgaya a.k.a Masanja Mkandamizaji ambae August 14 2016 alifunga ndoa na mchumba wake aitwae Monica ameifanya hiki kichekesho kifupi akiwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dk. Tulia afunguka, asema Ukawa walimtukana tusi kubwa

SIKU mbili baada ya Spika wa Bunge, Job Ndugai kuahidi kufanyika maridhiano kati ya uongozi wa Bunge na wabunge wa upinzani katika kikao kijacho kinachotarajiwa kuanza Septemba 6, mwaka huu, Naibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JWTZ Lawatoa Hofu Wananchi... Lasema Septemba 1 Litasherehekea Miaka 52 kwa...

Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ) leo linaanza shamrashamra za maandalizi kuelekea siku ya maadhimisho ya 52 ya majeshi inayotarajiwa kufanyika Septemba Mosi mwaka huu kwa kufanya usafi na...

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live