Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Audio: Msikilize Rais Magufuli Akizungumzia Jinsi Atakavyoyapiga Mnada...

Rais John Magufuli amesema azma ya Serikali yake kuhamia Dodoma haraka iwezekanavyo ipo pale pale huku akiwaonya wale wataong'ang'ania kubaki Dar es Salaaam kuwa watakuwa wamejifukuzisha kazi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Majaliwa Amjulia Hali Spika Wa Bunge, Job Ndugai

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Spika wa Bunge , Job Ndugai wakati alipokwenda nyumbani kwa Spika jijini Dar es salaam kumsalimia Julai 29, 2016. Mheshimiwa Spika amerejea nchini hivi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magufuli: Wapinzani Walisusia Vikao Vya Bunge Kwa Sababu Wanajua na Wao ni...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli jana  July 29 2016 alianza ziara ya siku nne katika mikoa ya Singida, Tabora, Shinyanga na Geita akitokea mkoani Dodoma ambapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Trafik wakusanya milioni 320 kwa siku nne Dar es Salaam

Jeshi la Polisi Kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Dar es Salaam limekusanya shilingi milioni 320.2 ambapo fedha hizo ni kutokana na tozo za makosa ya usalama barabarani.Akizungumza na waandishi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kiwanda Maarufu Cha Dangote Chatozwa Faini Ya Shilingi Milioni 15 Kwa...

Serikali kupitia Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC limekitoza faini ya shilingi milioni 15, Kiwanda maarufu cha kutengeneza simenti cha Dagonte Industry limited  kilichopo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hii Ndio Kauli ya Zitto Kabwe Kuhusu Kauli ya Rais Magufuli Jana Singida

Maelekezo ya Kiongozi wa Chama ( KC ) kwa wanachama wote wa ACT Wazalendo ( KC/01/2016 ).Tangu kukamilika kwa Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 Utawala mpya umekuwa ukifanya kila juhudi kuminya uwezo wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USHIRIKINA..!! Kijana Aganda na Kukata Kauli Ghafla Baada Ya Kuogombana Na...

  Mkazi wa Shunu kata ya Nyahanga mjini Kahama mkoani Shinyanga, Baraka John (22) amejikuta akishindwa kuzungumza baada ya kugombana na mpenzi wake MAGRETH JOHN nyumbani kwake katika tukio...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbowe Ahojiwa na Kuachiwa Kwa Dhamana.... Tundu Lissu Asisitiza Oparesheni...

MWANASHERIA Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amesema licha ya viongozi wa chama hicho kutishwa, kukamatwa na kuhojiwa na Jeshi la Polisi, bado msimamo wao kuhusu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

James Lembeli: Nipo Tayari Kurudi CCM Kumsaidia Rais Magufuli

MBUNGE wa zamani wa Jimbo la Kahama, James Lembeli, ameibukia katika mkutano wa Rais, Dk. John Magufuli, huku akimwomba kiongozi huyo kuhakikisha anakisafisha Chama Cha Mapinduzi (CCM).Lembeli ambaye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu: Wakurugenzi Watakaotoa Taarifa Za Uongo Kufutwa Kazi

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali haitasita kuwaondoa katika nyadhifa zao Wakurugenzi wote watakaoshiriki katika kutoa taarifa za uongo kuhusu miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafanyabiashara Wawili Wauawa Gesti Dar es Salaam

Watu wawili wamekutwa wamefariki katika nyumba ya wageni ya Kings Rest House iliyopo Mtaa wa Bumila, Gongo la Mboto jijini Dar  huku miili yao ikiwa imeungua moto. Mmiliki wa gesti hiyo, Damian...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Aitaka Wizara Kuweka Mikakati Ya Kuendeleza Uvuvi Katika Kina...

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi kuweka mikakati endelevu ya kuwawezesha wananchi kuvua katika maji ya kina kirefu cha bahari kwa kutumia meli kubwa na za kisasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa Afungua Maonyesho Ya Nanenane Mororogoro

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisikiliza Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Damian Lubuva wakati alipotembelea Banda la Tume ya Taifa ya Uchaguzi katika Monyesho ya Wakulima Nane mjini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Amaliza mgogoro wa makazi Magomeni Kota

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imemaliza mgogoro wa makazi wa Magomeni Kota uliodumu kwa kipindi kirefu.Hayo yamesbainishwa leo jijini Dar es Salaam na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Ahitimisha Ziara Ya Siku Nne Mikoa Ya Singida, Tabora Na Shinyanga

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akihutubia wananchi wa Katoro na Buseresere wakati akielekea nyumbani kwake Chato mkoani Geita leo Agosti 1, 2016Rais wa Jamhuri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mrema akutana na Madereva Bodaboda wa Kinondoni... Awataka wampe majina ya...

Mwenyekiti wa Parole Augustino Mrema amewataka madereva bodaboda kote nchini kujiepusha na tabia za kushiriki maandamano ya kisiasa yanayoandiwa na baadhi ya wanasiasa kwa lengo la kuvunja sheria za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Toka Ikulu: Rais Magufuli Katoa Maagizo Mazito Kwa Viongozi Wote Hapa...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewaagiza viongozi wote wa kuanzia ngazi ya Mkoa hadi Kitongoji hapa nchini kufuatilia matumizi ya fedha zinazotolewa na Serikali kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pitia Hapa Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumanne Agosti 02,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ugonjwa wa Sumukuvu Wahatarisha Maisha Nchini...Umeua Watu 14 Mpaka sasa Huku...

Watu 14 wamefariki dunia katika wilaya za Chemba mkoani Dodoma na Kiteto mkoani Manyara kutokana na ugonjwa unaojulikana kitaalamu kama ‘Aflatoxicosis’ unaosababishwa na sumu kuvu (Aflatoxins) kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dereva Ajali ya City Boy Iliyoua watu 30 Ajisalimisha Polisi

MMOJA wa madereva waliosababisha ajali ya mabasi ya Kampuni ya City Boy iliyotokea Julai 4, mwaka huu na kutoroka, Boniface Mwakalukwa (37), amejisalimisha mikononi mwa polisi na kufikishwa...

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live