Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huu Hapa Ndio Ujumbe Mzito Uliopostiwa Na Lowassa Leo

Nina furaha kutimiza mwaka mmoja toka nilipojitoa CCM na kujiunga na CHADEMA.Uamuzi ule haukuwa rahisi,lakini kwa ushupavu, ujasiri na mwongozo wa Mungu nilifanya hivyo.Nilifanya uamuzi wa kihistoria...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pitia Hapa Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Ijumaa Julai 29,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Agizo la Waziri Mkuu kuhusu wafanyakazi walioajiriwa kwa mkataba

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameitaka Halmashauri ya wilaya ya Temeke kuondoa wafanyakazi wa mkataba kwa ili kuwapa ajira ya kudumu kwa wenye sifa na kuwaondoa wasiokuwa na sifa ifikapo Julai 30 mwaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Walimu 4 wamvua nguo na kumchangia viboko binti wa Kidato cha IV Mbeya huku...

VITENDO vya ukatili wa kijinsia na dhuluma dhidi ya watoto wa kike vimekuwa vikishamiri kila siku pamoja na kuwepo kwa taasisi za kutetea haki za wanawake  na kuanzishwa kwa madawati ya Kijinsia kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USHIRIKINA !! Kijana Anasa Mlangoni Kwa Bibi Anayedaiwa Kumchezea Kishirikina...

Katika hali isiyo ya kawaida Mkazi wa Mtaa wa Majengo wilayani KAHAMA Mkoani Shinyanga aliefahamika kwa jina moja la MLINDA amekutwa amenasa katika mlango wa nyumba ya Bibi mmoja mtaani hapo, tukio...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATARI..!! Wawili Wafariki Dunia Kwa Unywaji Wa Pombe Kupita Kiasi Wilayani...

 Mkazi wa Mbulu misheni mjini Kahama PETER RAMADHAN (27) na SHIJA DOMINIC (24) mkazi wa NYANDEKWA wamefariki dunia katika maeneo mawili tofauti kutokana na unywaji wa pombe kupita kiasi. Akielezea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa Akoleza Moto CCM... Awata Wanaomuunga Mkono Ndani ya CCM Waendelee...

Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema na Ukawa, Edward Lowassa ana uhakika kuwa bado kuna wanachama wanaomuunga mkono ndani ya CCM na sasa anawataka waendelee kushikamana naye, kauli ambayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa ya Wizara ya Afya Kuhusu Kuvamiwa Kwa Shirika Lililokuwa Likigawa...

Wizara imepokea taarifa kuwa Kamati ya Ulinzi na Usalama wilaya ya Shinyanga imevamia ofisi za shirika la Jhpiego mkoani humo na kukamata baadhi ya watumishi wake kwa madai ya shirika hilo kugawa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bingwa wa kubikiri Wasichana Nchini Malawi abainika ana UKIMWI... Rais Aamuru...

Rais wa Malawi, Peter Mutharika juzi alitoa amri ya kukamatwa kwa Eric Aniva ambaye hivi karibuni alibainika kufanya kibarua cha kuwabikiri mabinti wa chini ya umri wa miaka 13 zaidi ya 100.Amri hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanamuziki Koffi Olomide aachiwa huru Kutoka Jela... Mahakama Yasema...

Koffi Olomide Alikamatwa Jumanne July 26 2016 nyumbani kwake Kinshasa kwa tuhuma za kumshambulia dancer wake wa kike wakati wakiwa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyata Nairobi na baadaye ikawa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ikiwa Zimesali Siku Tatu, Yadaiwa Waombaji wa Mikopo Elimu ya juu Wafikia 69,820

JUMLA ya wanafunzi 69,820 wameomba mikopo kwa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) hadi sasa ikiwa zimebaki siku tatu kufikia mwisho wa kupokea maombi hayo.Akizungumza jana jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond, Alikiba, Navy Kenzo na Vanessa Wakutana Uso Kwa Uso AYCA2016

Diamond Platnumz, Alikiba, Navy Kenzo, Vanessa Mdee, Mama Salma Kikwete na wengine wametajwa kuwania tuzo za Africa Youth Choice [Awards] 2016. Tuzo hizo zitatolewa Jumamosi ya Septemba 17 jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vitu alivyoongea bilionea Mohammed Dewji katika mpango wake wa kuinunua Timu...

Kuelekea mkutano mkuu wa Simba unaotaraji kufanyika Jumapili ya Julai, 31, shabiki na mkeleketwa wa Simba ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji na Rais wa Makampuni ya Mohammed Enterprises (MeTL Group),...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa muhimu kwa wanaodaiwa na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu walioko Dar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA Wasema Tamko la Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini ni Upotoshaji

Baada ya kulifanyia uchambuzi na kulitafakari tamko la Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, lililotolewa jana na msajIli mwenyewe, Jaji Francis Mutungi tumeona ni jambo lenye afya kwa ustawi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yatoa Onyo Kwa Wanaotaka Kujenga Kwenywe Njia Ya Bomba La Mafuta Ili...

Serikali imewataka watanzania kutokuwa na mashaka juu ya utekelezazaji wa mradi wa Bomba la mafuta baina ya Tanzania na Uganda wenye urefu kwa kilomita 1,443 kwani utakamilika kabla ya mwaka 2020. Hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Atoa ONYO Kali..."Mimi sijaribiwi, wasije kunijaribu....

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 29 Julai, 2016 ameanza ziara ya siku nne katika mikoa ya Singida, Tabora, Shinyanga na Geita akitokea mkoani Dodoma, ambapo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pitia Hapa Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumamosi Julai 30,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli: Chadema Msiwape Vijana Viroba Ili Watangulie Kwenye...

Juzi Chama cha Demokrasia na maendeleo ‘CHADEMA’ kilitangaza mikakati mitatu ya kupinga ilichokiita ukandamizaji wa haki na demokrasia na kuitangaza siku ya September mosi mwaka kuwa ni siku ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majengo ya Serikali Dar es Salaam kupigwa mnada ili wale wasiotaka kuhamia...

WAKATI suala la serikali kuhamia mkoani Dodoma likiwa dhahiri zaidi kila siku moja inayoongezeka, Rais John Magufuli ametangaza kuuza majengo ya wizara Dar es Salaam, mara atakapohamia yeye katika...

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live