Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: Maelezo Ya DK 4, Ndugu Aelezea Dakika Za Mwisho Kabla Ya KUNDAMBANDA...

Leo July 22 2016 taarifa za kifo cha msanii wa filamu za Comedy Ismail Issa Makombe ambaye wengi tunamfahamu kwa jina la ‘Kundambanda’ zimeanza kuenea, taarifa rasmi kutoka kwa ndugu wa karibu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kesi za Uhujumu Uchumi zaigiza Bilioni 29

Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Harrison Mwakyembe amesema Mahakama Kuu chini ya kitengo kinachosimamia kesi za kuhujumu uchumi imetoa adhabu ya kifungo na kulipa faini ya Sh29 bilioni kwa watu 12 baada...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Utiaji Saini Makubaliano Ya Awali Ya Ujenzi Wa Reli Ya Kati (Standard Gauge)

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo imetiliana saini na Benki ya Exim ya China makubaliano ya awali ya ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha kisasa (Standard Gauge).Makubaliano hayo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Programu za vyuo vikuu ambazo hazijasajiliwa na TCU na NACTE kufutwa

Na: Lilian Lundo -Maelezo Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi Bi. Maimuna Tarishi ameitaka Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kikwete Aongoza Kikao Cha Halmashauri Kuu Ya Taifa Ya CCM Mjini Dododma...

JAKAYA Kikwete, Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) anayemaliza muda wake amemtahadharisha mwenyekiti mtarajiwa wa Chama hicho John Magufuli kwa kumweleza kuwa uenyekiti ndani ya CCM siyo lelemama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ripoti ya Jeshi la Polisi Dar es Salaam Baada ya Kumalizika kwa zoezi la...

Jeshi la Polis kanda Maalumu jijini Dar es salaam limekamata watuhumiwa sugu 1,065 kwa makosa mbalimbali yakiwemo unyang’anyi wa kutumia nguvu, wizi wa maungoni, wapiga debe, wavuta bangi, kikosi cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Alichokisema Rais Magufuli Baada ya Kuchaguliwa Kuwa Mwenyekiti wa CCM

MWENYEKITI wa tano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais John Magufuli, amewaomba wanachama wa chama hicho kumuombea kwa Mungu ili apate uvumilivu wa mtangulizi wake, Mwenyekiti mstaafu, Jakaya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Alichokiandika Zitto Kabwe baada ya Rais Magufuli kupewa uenyekiti wa CCM

Jana July 23 2016  Rais John Pombe Magufuli alikabidhiwa rasmi nafasi ya uenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM   baada ya kupigiwa kura za ndio 2398  kutoka kwa wanachama wa chama hicho ambapo hakuna...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinana Ajiuzulu... Achaguliwa Tena mbele ya Mkutano Mkuu Kuwa Katibu Mkuu wa CCM

KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ameandika barua ya kujiuzulu nafasi hiyo kwa Mwenyekiti mpya wa CCM, Rais John Magufuli, lakini Rais amekataa barua yake hiyo.Badala yake, Rais Magufuli amemtaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa na Sumaye Wapewa MAKAVU Ndani ya Mkutano wa CCM ... Mpendazoe Ahamia...

VIGOGO mashuhuri wa Chadema waliowahi kuwa mawaziri wakuu; Edward Lowassa na Frederick Sumaye, jana waligeuka gumzo ndani ya Mkutano Mkuu Maalumu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kumchagua Rais John...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwigizaji Jackline Wolper atangaza kuhama CHADEMA na kijiunga na CCM

Mwigizaji wa filamu nchini Tanzania Jackline Wolper aliyakuwa akimuunga mkono Edward Lowassa katika uchaguzi Mkuu 2015, ametangaza kujiunga na CCM rasmi janaWolper alikaribishwa na mwenyekiti...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wasanii Wamlilia Kikwete Walipokuwa Wakimuaga Kwa Kustaafu Uwenyekiti Wa...

Wasanii wa Bongo Movie na muziki wa kizazi kimpya wamesema watamkumbuka sana Mwenyekiti Mstaafu wa CCM, Jakaya Kikwete kwa msaada aliyowapatia kipiti cha utawala wake akiwa Rais na Mwenyekiti wa chama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msindai : Nimerudi CCM Kwa Kuwa Sasa Hakuna Cha Kupinga

Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida na baadaye kuhama chama na kujiunga na CHADEMA, Mgana Msindai ametangaza kurudi CCM.Msindai alitangaza uamuzi huo jana mjini Dodoma baada ya kupewa nafasi na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kauli ya CHADEMA baada ya wanachama wake kutangaza kujiunga CCM

Wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM jana mjini Dodoma, Chama cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) kiliwapoteza wanachama wake watatu baada ya kutangaza rasmi kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM).Wanachama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pitia Hapa Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumatatu Julai 25,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Askofu Gwajima Amjibu Yusuf Makamba... Asema Sio Saizi Yake

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amemjibu katibu mkuu wa zamani wa CCM, Yusuf Makamba aliyemtuhumu kuwa ni mwongo akisema leseni yake ni ya kuendesha magari makubwa na siyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vikongwe Wawili Wauawa Kwa Tuhuma Za Uchawi

Vikongwe wawili mke na mumewe wa Kitongoji cha Nyag’holongo, Wilaya ya Bukombe mkoani Geita, wameuawa kwa kutumia silaha za jadi na watu wasiojulikana wakituhumiwa kuwa ni wachawi. Kaimu Kamanda wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diwani Akwepa Risasi Sita Akipambana Na Majambazi Moshi

Diwani wa Kata ya Kiborlon (Chadema) katika Manispaa ya Moshi, Frank Kagoma ameonyesha ujasiri wa hali ya juu alipopambana na majambazi waliokuwa na silaha za moto. Alinusurika kuuawa baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtandao wa haki za binadamu walia na Jeshi la Polisi

Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) umelitaka Jeshi la Polisi mkoani Arusha kuwafikisha mahakamani wanachama wake wanne linaowashikilia kwa siku 12 sasa. Mtandao huo umedai kuwa watu saba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Mgeni Rasmi Katika Sherehe Za Mashujaa Dodoma Leo

AMIRI Jeshi Mkuu, Rais John Magufuli atakuwa mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa Kitaifa, yatakayofanyika mjini Dodoma leo.Hiyo itakuwa ni mara ya kwanza kwa maadhimisho hayo kufanyika...

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live