Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA MBALIMBALI ZA RAIS MAGUFULI NA RAIS KAGAME WAKIWA NCHINI RWANDA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATU WATANO WAFARIKI DUNIA JIJINI DAR KWA KUANGUKIWA NA KIFUSI.

Watu watano wamefariki dunia na wengine watano kujeruhiwa, baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi kuangukiwa na kifusi na mti wakiwa wamelala, ajali hiyo ilisababishwa na kupasuka kwa karo la majitaka la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA ZAMANI NA MOSHI VIJIJINI (CCM) APANDISHWA KIZIMBANI

Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Thomas Ngawaiya amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na shtaka la kujenga hoteli kwa kutumia makandarasi wasiosajiliwa.Ngawaiya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIONGOZI CUF WASHUTUMIWA KWA KUKOSA UZALENDO

Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wamekishiutumu Chama cha Wananchi (Cuf) pamoja na viongozi wao kwa kukosa uzalendo kutokana na kauli zao za kuunga mkono wahisani kuisitishia misaada...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAMAD RASHID: SERIKALI YA MUUNGANO ISIBABAISHWE NA WAHISANI

Mjumbe wa Kuteuliwa wa Baraza la Wawakilishi, Hamad Rashid (ADC) ametaka Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutobabaishwa na nchi washirika wa maendeleo kwa kususa misaada yao kwa kile...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO WA MIAKA SABA AJINYONGA KWA KAMBA

Mtoto George Elias (7) amekutwa amekufa kwa kujinyonga kwa kamba ya katani katika Kijiji cha Buganzu, Kata ya Uyovu wilayani Bukombe, Mkoa wa Geita, tukio linalodaiwa kusababishwa na michezo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIAKA 4 YA KIFO CHA KANUMBA, HII NDIYO HALI HALISI

Hii ndiyo hali halisi! Ikiwa leo ni siku ya kumbukumbu ya kifo cha aliyekuwa staa wa filamu Bongo, Steven Charles Kanumba ambapo ametimiza miaka minne kaburini, mambo mbalimbali yametokea tangu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PADRI AMTOLEA TAMKO JOKATE

Mbongo Fleva na Miss Tanzania No. 2, 2006, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’.DAR ES SALAAM: Baadhi ya watu waliodai kuwa wao ni waumini wa Kanisa la Mtakatifu Petro, Oysterbay jijini Dar es Salaam ambako...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI DAR WAMCHUNGUZA ZARI!

Zarina Hassan ‘Zari’ au mama Tiffah.DAR ES SALAAM: Kufuatia kamatakamata ya wafanya-biashara wanaodaiwa kujihusisha na madawa ya kulevya ‘unga’ Bongo, kuna madai kwamba, Jeshi la Polisi Tanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAYNA NYANGE AWACHANA MASHABIKI

Mwanaisha Said ‘Dayna Nyange’Staa wa Ngoma ya Angejua, Mwanaisha Said ‘Dayna Nyange’ amewatolea uvivu watu wanaofuatilia maisha yake katika mitandao ya kijamii kuwa hakuna anayemsaidia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VENGU ASAKWA KWA SAA 72

Mchekeshaji maarufu Bongo, Joseph Shamba ‘Vengu’.DAR ES SALAAM: Baada ya wasomaji mbalimbali kuonesha hamu ya kutaka kujua hali ya mchekeshaji maarufu Bongo, Joseph Shamba ‘Vengu’, Amani lililazimika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA ZA UZUSHI KUHUSU WALIMU KUSHONEWA SARE INAYOSAMBAZWA KATIKA MITANDAO...

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UFUNDITAARIFA KWA UMMAYAH: TAARIFA ZA UZUSHI KUHUSU WALIMU KUSHONEWA SARE INAYOSAMBAZWA KATIKA MITANDAO YA KIJAMIIWizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI ASHIRIKI KATIKA MAADHIMISHO YA KUMBUKUMBU YA MIAKA 22 YA MAUAJI...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli wakishuhudia  wenyeji wao Rais Paul Kagame na Mama Janeth Kagame pamoja na binti yao wakiweka shada...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wabunge Wanawake wa UKAWA watoka nje ya Bunge baada ya Mbunge wa CCM...

Wabunge wanawake wa Upinzani wametoka wote nje ya Bunge kwa madai ya kudhalilishwa bungeni na Mbunge wa jimbo la Ulanga Goodluck Mlinga (CCM ) aliyedai jana kuwa viti maalum Ukawa hutolewa kwa rushwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahakama Kuu Yaitupilia Mbali Rufaa iliyoletwa na Mwendesha Mashtaka wa...

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali rufaa iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) iliyokuwa ikipinga kuondolewa kwa shitaka la 8 la utakatishaji fedha linalomkabili aliyekuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tamko la wizara ya Afya Kulaani Mauaji ya Mama na Mtoto Huko Bagamoyo

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na watoto inasikitishwa na inalaani vikali tukio la kuuawa kwa kuchinjwa, mwanamke Oliver Erasto (23) na mtoto wake Emmanuel (3), wakazi wa eneo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jengo La NSSF La Eneo La Akiba Lawaka Moto

Jengo lililoko eneo la akiba posta jijini Dar es salaam limeripotiwa kuwaka moto kuanzia majira ya jioni na chanzo cha moto huo kinasemekana ni mtungi wa gesi kulipuka na kusababisha moto.Inasemekana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Here Are All Tanzania Newspapers Today 07 May 2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jason Rweikiza Achaguliwa Kuwa Katibu wa Wabunge wa CCM

WABUNGE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamemchagua Mbunge wa Bukoba Vijijini, Jason Rweikiza kuwa Katibu wao.Rweikiza anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama, ambaye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge Ataka Walawiti na Wabakaji Wahasiwe

MBUNGE wa Viti Maalumu, Angelina Malembeka (CCM) ametaka watu wanaohukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kosa la ubakaji na ulawiti, wahasiwe ili wawapo gerezani wasiendeleze tabia hizo.“Tumeshaona...

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live