Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SPIKA WA BUNGE MH.NDUGAI AFANYA MABADILIKO YA BAADHI YA WAJUMBE WA KAMATI ZA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CUF YATANGAZA KUTOYATAMBUA MATOKEO YA UCHAGUZI WA MARUDIO ZANZIBAR.... PIA...

Kufuatia ubakaji wa demokrasia kupitia kile kilichoitwa uchaguzi wa marudio uliofanywa juzi tarehe 20 Machi, 2016, jana Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Jecha Salim Jecha, alikamilisha kazi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MTEULE WA ZANZIBAR DR. ALI MOHAMED SHEIN KUAPISHWA KESHO KUTWA ALHAMISI...

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema kuwa sherehe za kuapishwa kwa Rais mteule wa Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein zitafanyika siku ya Alhamisi Machi 24 katika uwanja wa Amaan, na maandalizi yote...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHIDI BENZ APELEKWA BAGAMOYO SOBER HOUSE KWA AJILI KUMSAIDIWA KUACHA MATUMIZI...

Meneja wa Diamond, Babutale akishirikiana na Kalapina wamemchukua Chidi Benz na kumpeleka Life and Hope Rehabilitation Organization iliyopo Bagamoyo kwa ajili kumsaidiwa kuacha matumizi ya madawa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA KIKWETE AWASILI TUNISIA KUSULUHISHA MGOGORO WA LIBYA

Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Afrika wa Usuluhishi wa Mgogoro wa Libya, amewasili jana Jijini Tunis nchini Tunisia  kushiriki Mkutano wa 8 wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUHUMA ZA RUSHWA: HUSSEIN BASHE NAYE AJIUZULU UJUMBE WA KAMATI YA BUNGE

Mbunge wa Nzega Mjini na Kiongozi wa chama cha CCM, ameishtumu Kamati ya Huduma za Jamii anayohudumu kuwa kuna baadhi ya Wajumbe wammepokea rushwa.Kutokana na shtuma hizo ameamua kuungana  na  Zitto...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABASI YAENDAYO KASI KUANZA NDANI YA WIKI HII

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema mabasi yaendayo kasi (DART) yataanza kufanyiwa majaribio ndani wiki moja kuanzia sasa ili madereva waanze kuzoea njia na taa za kuongozea magari.“Wataanza na mabasi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HABARI ZILIZOPO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMATANO YA MARCH 23

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) CHAMPONGEZA DK ALI MOHAMMED SHEIN KWA USHINDI WA...

Baada ya Dk Ali Mohammed Shein kutangazwa mshindi kwa zaidi ya asilimia 90, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema hatma ya kuundwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa itaamuliwa na Rais kwa kufuata matakwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SOKO LA FERI LATAKIWA KUTAFUTA GESI YA BEI NAFUU

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Bodi ya soko la Kimataifa la Samaki la Feri, kukutana na makampuni mbalimbali yanayouza gesi ili kupata kampuni inayouza kwa bei nafuu zaidi lengo likiwa ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI TOKA UGANDA HADI TANZANIA UKO PALEPALE LICHA...

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limesema mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Uganda mpaka Bandari ya Tanga utafanyika kama marais wa nchi hizo mbili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BINTI WA MIAKA 17 AJIFUNGULIA MTOTO CHOONI HOSPITALI YA AMANA DAR

Msichana wa umri wa miaka 17 ambaye alikuwa katika machungu ya uzazi, amejikuta akijifungulia mtoto chooni baada ya muuguzi mmoja wa Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam kumtaka aende kuoga na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTATA WAGUBIKA WALIOKUFA KWA KUNYONGWA GESTI.

Hatimaye kitendawili cha watu watatu walionyongwa kisha kuchomwa moto kwenye Gesti ya Mexico mjini Kyela, kimetenguliwa baada ya ndugu kujitokeza na kuwataja kwa majina halisi.Kamanda wa Polisi Mkoa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC MAKONDA AITISHA KIKAO NA WALIMU ILI KUJADILI MATATIZO YANAYOWAKABILI

Mkuu  wa Mkoa  wa  Dar  es  Salaam  Paulo  Makonda  amemwagiza Ofisa Elimu,Raymond  Mapunda  kuitisha  mkutano  wa  walimu  March 26 mwaka  huu ili  kujadili matarizo  yanayowakabili likiwemo  la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC KIJUU: WATUMISHI HEWA ANZENI KUJIONDOA KABLA SIJAWAKAMUA MAJIPU

Mkuu  mpya  wa  Mkoa  wa  Kagera,Meja  Jenerali Mstaafu, Salum Kijuu amewaagiza  watumishi  wasio  na  sifa za  kuajiriwa kujiondoa  kabla  ya March  31  mwaka  huu.Kijuu  alitoa  kauli  hiyo  jana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZANZIBAR YASEMA IKO TAYARI KUFA NJAA KULIKO KUWANYENYEKEA WAZUNGU WANAOPONDA...

Licha ya Marekani na Umoja wa Ulaya (EU) kueleza kusikitishwa kwao na uchaguzi wa marudio Zanzibar kufanyika bila kuwapo maelewano ya pande zinazokinzana, baada ya Chama cha Wananchi (CUF) kususia...

View Article

CCM NA CUF WATWANGANA NGUMI PEMBA WAKATI WAKISHEREHEKEA USHINDI WA DR. SHEIN

Jeshi la Polisi jana walitumia mabomu ya machozi kurejesha hali ya amani baada ya wananchi kuanza kupigana kwa sababu za kisiasa wakati wakisherehekea ushindi wa Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PITIA HAPA MAGAZETI YOTE YA TANZANIA LEO ALHAMISI MARCH 24,2016... KWA HARD...

Pitia hapa magazeti yote ya tanzania leo alhamisi march 24,2016... Kwa hard news, udaku na michezo

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHIRIKA LA FEDHA LA KIMATAIFA (IMF) LARIDHISHWA NA SERIKALI YA MAGUFULI...

Ujumbe wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) umeridhishwa na juhudi zinazofanywa na Serikali ya Rais John Magufuli katika kuongeza juhudi za kupambana na rushwa. Hali hiyo itabadili mtazamo wa awali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALINZI WATATU WA SUMA JKT WATIWA MBARONI KWA WIZI WA KOMPYUTA 50 CHUO KIKUU...

Walinzi watatu wa Suma JKT na askari mmoja wa Kituo  Kikuu cha Polisi Mkoa wa Dodoma, wametiwa mbaroni kwa tuhuma za wizi wa kompyuta zinazokadiriwa kufikia 50 mali ya Chuo Kikuu Dodoma (Udom).Chanzo...

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live