Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2674

TUHUMA ZA RUSHWA: HUSSEIN BASHE NAYE AJIUZULU UJUMBE WA KAMATI YA BUNGE

$
0
0

Mbunge wa Nzega Mjini na Kiongozi wa chama cha CCM, ameishtumu Kamati ya Huduma za Jamii anayohudumu kuwa kuna baadhi ya Wajumbe wammepokea rushwa.

Kutokana na shtuma hizo ameamua kuungana  na  Zitto Kabwe  kumuandikia spika  barua  ya kujiuzulu  na kumtaka achunguze na kuchukua hatua.

Hii  ni nakala ya barua yake aliyomwandikia spika wa bunge


Viewing all articles
Browse latest Browse all 2674

Trending Articles