Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAIMU MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU ATANGAZA KIAMA KWA WALA RUSHWA HASA...

Na Dotto MwaibaleTAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (Takukuru), imetoa onyo kwa taasisi nyeti nne hapa nchini ikiwemo wanaohusika na matumizi ya fedha za Umma kufuata sheria, taratibu na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CUF KUKINUKISHA KESHO KWA MAANDAMANO

VIJANA wa Chama cha Wananchi kupitia jumuiya yao (JUVI-CUF) wameweka msimamo kuwa ‘iwe iwavyo’ watafanya maandamano kesho visiwani humo kwa kuwa ni haki yao kufanya hivyo licha ya Jeshi la Polisi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEMBE AZUNGUMZIA MPANGO WA KUSTAAFU SIASA..... AANZA KUANDIKA VITABU KAMA...

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema hana mpango wa kustaafu siasa kwa sababu haina mwisho.Pia, amesema kwa sasa anafanya kazi ya uandishi wa vitabu kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PITIA HAPA MAGAZETI YOTE YA TANZANIA LEO JUMATANO JAN 27,2016, KWA HARD NEWS,...

 Pitia Hapa Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumatano Jan 27,2016, Kwa Hard News, Udaku Na Michezo.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA LAKE OIL YAKAMULIWA BILIONI 8.5 KWA KUINGIZA MAFUTA NA KUKWEPA...

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (Takukuru), imetoa onyo kwa taasisi nyeti nne hapa nchini ikiwemo wanaohusika na matumizi ya fedha za Umma kufuata sheria, taratibu na kanuni....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIONGOZI WA UKAWA KUTOA MSIMAMO WAO JUU YA SUALA LA ZANZIBAR

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) umesema utatoa msimamo juu ya hali ya siasa ya Zanzibar baada ya kikao cha kamati tendaji kuketi na kutoa msimamo. Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANDREW CHENGE ACHAGULIWA KUWA MWENYEKITI WA BUNGE.....ASEMA SUALA LA ESCROW...

MBUNGE wa Bariadi, Andrew Chenge na wabunge wawili wa Viti Maalumu, Dk Mary Mwanjelwa na Najma Giga, wamechaguliwa kuwa Wenyeviti wa Bunge kwa kipindi cha miaka miwili na nusu.Uchaguzi huo ulifanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AMUUA MWENZAKE KWA KIPIGO BAADA YA KUMKUTA AKIMTONGOZA DADA YAKE

Mkazi wa kijiji cha Kalovya – Inyonga wilayani Mlele, Ramadhani Ally (20) amefariki dunia akipatiwa matibabu hospitalini baada kupigwa  na  kijana  mwenzake.Akizungumzia  tukio hilo, Kamanda wa Polisi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOTEL YA MTOTO WA AMANI KARUME YATEKETEA KWA MOTO, VIJANA WAWILI WAHUSISHWA

Moto mkubwa umeteketeza hoteli ya kitalii ya Konokono Beach Resort iliyoko Michamvi mkoa wa kusini Unguja, inayomilikiwa na mtoto wa rais wa zamani wa Zanzibar, Amina Karume pamoja na wawekezaji wawili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI KITWANGA AANIKA SIRI YA KUTUMBULIWA KWA VIGOGO WA MAMLAKA YA...

Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) waliokumbwa na ‘operesheni tumbua majipu’, walikutwa na mali nyingi “kupita maelezo”, kwa mujibu wa Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAPAMBE WA WASSIRA KUKATA RUFAA KUPINGA HUKUMU YA MAHAKAMA KUU ILIYOHALALISHA...

Baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Mwanza, kuipiga chini kesi iliyokuwa ikimkabili mbunge wa Bunda Mjini (Chadema), Esther Bulaya, wadai katika kesi hiyo wanatarajiwa kupinga uamuzi huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAUSIGELI AFARIKI KWA KULAWITIWA NA BOSI WAKE

Mtumishi  wa nyumbani mwenye umri wa miaka 23, aliyekuwa akifanyakazi katika nyumba iliyo eneo la Mwika-Mrimbo, Moshi Vijijini, mkoani Kilimanjaro, amekufa kwa madai ya kulawitiwa na bosi wake, Zablon...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PITIA HAPA MAGAZETI YOTE YA TANZANIA LEO JUMAPILI FEB 07,2016 KWA HARD NEWS,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI WATATU WAFA KATIKA AJALI MBAYA YA GARI KWENYE MSAFARA WA RAIS MAGUFULI...

Askari polisi watatu wamefariki dunia na wengine wawili wamejeruhiwa baada ya gari lao lililokuwa kwenye msafara wa Rais John Magufuli kutoka Singida kwenda Dodoma, kupasuka tairi na kupinduka.Rais...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI AOMBOLEZA VIFO VYA ASKARI WALIOFARIKI DUNIA SINGIDA KWA AJALI...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Inspekta Jenerali Ernest Mangu kufuatia vifo vya askari watatu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMISHNA WAWILI KATI YA SITA WA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR WAMEPINGA...

Wakati wadau mbalimbali wa masuala ya kisiasa wakipinga kile kinachoendelea Zanzibar, nao makamishna wawili wa tume ya uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Nassor Khamis Mohamed na Ayoub Hamad wameibuka na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PITIA HAPA MAGAZETI YOTE YA TANZANIA LEO JUMATATU FEB 08,2016 KWA HARD NEWS,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI SIMBACHAWENE APONGEZA UCHAGUZI WA MEYA DAR ES SALAAM KUAHIRISHWA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Tamisemi), George Simbachawene amesema Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, imetumia busara kuahirisha uchaguzi wa Meya uliopangwa kufanyika leo. Juzi halmashauri hiyo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAJANE WAWILI WAUAWA KWA KUKATWA MAPANGA WAKIDAIWA KUSAMBAZA KIPINDUPINDU...

Wajane wawili wa Kitongoji cha Bulinda wilayani Kyela wameuawa kwa mapanga wakidaiwa kusambaza ugonjwa wa kipindupindu baada ya kufiwa na waume zao katika eneo hilo.Waliouawa ni Geneli Kapwela (65) na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AMOS MAKALLA AKAGUA MPAKA WA TANZANIA NA KENYA NA...

Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani Kilimanjaro imeteketeza lita 140 za gongo, mapipa 40 na mitambo sita ya kutengeneza pombe hiyo haramu vyenye thamani ya Sh10 milioni. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,...

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live