Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAALIM SEIF SHARIF HAMAD AONGEA NA WAANDISHI WA HABARI... ASEMA CUF HAIKO...

Hatimaye, Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad ametoa msimamo wake na chama chake kufuatia mazungumzo ya siri ya kutafuta suluhu ya mkwamo wa kisiasa unaotokana na tangazo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MKOA WA MWANZA APEWA MASAA 48 YA KUJIELEZA

NAIBU Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais ( Mazingira na Muungano) Luhaga Mpina amempatia saa 48 Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo kujieleza sababu za Jiji la Mwanza kuwa chafu.Mpina alisema hayo jana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA UTEUZI WA WABUNGE KWENYE KAMATI ZA KUDUMU ZA BUNGE

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UTEUZI WA WABUNGE KWENYE KAMATI ZA KUDUMU ZA BUNGE.Katibu wa Bunge anatoa taarifa kwa umma kwamba:(a) Kwa mujibu wa Kanuni ya 116 (3) ya Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZANZIBARI WASHEREHEKEA MIAKA 52 YA MAPINDUZI LEO

WAZANZIBARI leo wanasherehekea miaka 52 ya Mapinduzi ya Januari 12 mwaka 1964, ambayo yaling’oa utawala wa Sultani kutoka Oman na kuwezesha wazalendo wengi kushika hatamu ya kuongoza nchi.Katika kilele...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM WAJIBU MAPIGO KUHUSU UCHAGUZI ZANZIBAR... WASEMA UCHAGUZI LAZIMA URUDIWE

Muda mfupi baada ya Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Maalim Seif Sharif Hamad kutangaza kasoro na athari za kurudia Uchaguzi uliofutwa kinyume cha sheria na Jecha Salim Jecha, viongozi wa Chama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UVCCM YATAKA RAIS MSTAAFU WA ZANZIBAR DR AMAN ABEID KARUME AFUKUZWE CCM

UMOJA wa vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), umekitaka chama hicho kumvua uanachama Rais mstaafu wa Zanzibar Dk  Aman Abeid Karume.Kauli hiyo ilitolewa jana katika viwanja vya Maisara mjini Zanzibar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAKUSUDIA KUANZA KUZALISHA DRIP ZA MAJI ZA IV KATIKA HOSPITALI ZAKE...

SERIKALI inakusudia kuanza kuzalisha drip za maji za IV (Intravenous Fluids) katika hospitali zake zote kubwa nchini.Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AFIKA MUHIMBILI KUMJULIA HALI WAZIRI MKUU STAAFU...

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole Waziri Mkuu, Mstaafu Frederick Sumaye  ambaye amelazwa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili kwa matibabu Januari 12, 2016.Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS:ZITTO KABWE ATOA KAULI NZITO KUHUSU BANGO LA CCM LILILOLETA...

"Siasa za Hatari sana hizi, Siasa za kibaguzi. Siasa zinazopaswa kulaaniwa na kila mpinga ubaguzi nchini. Nitashangaa sana kama wakubwa CCM hamtaomba radhi kwa siasa hizi hizi mbaya kabisa. What will...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAOMBA RADHI KUTOKANA NA MANENO YA KIBAGUZI KWENYE BANGO KATIKA SHEREHE...

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesikitishwa sana na ujumbe wenye maudhui ya ubaguzi ulioandikwa kwenye moja ya Bango lililobebwa na mmoja wa wananchi waliojitokeza katika maadhimisho ya Sherehe za Miaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HERE ARE ALL TANZANIA NEWS PAPER TODAY JANUARY 13,2016 FOR GOSSIP, SPORTS AND...

HERE ARE ALL TANZANIA NEWS PAPER TODAY JANUARY 13,2016 FOR GOSSIP, SPORTS AND HARD NEWS

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE NA MKEWE MAMA SALMA KIKWETE WAMPA POLE MAMA MARIA...

Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiongea na Mama Maria Nyerere, mjane wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, walipomtembelea nyumbani kwake Msasani jijini Dar es salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAFUNZI WA MIAKA 13 AOZESHWA KWA NG’OMBE 13

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Shinyanga, Mika NyangeMtoto mwenye umri wa miaka 13 anayesoma darasa la sita katika Shule ya Msingi Wishiteleja wilayani Kishapu mkoa wa Shinyanga, ameozeshwa kwa nguvu na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA YATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA ALIYEKUWA MBUNGE WAKE...

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wake wa Viti Maalum, Leticia Nyerere kilichotokea juzi nchini Marekani.Leticia alifariki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JECHA WA ZEC ATOKA MAFICHONI... DK. SHEIN ASISITIZA UCHAGUZI LAZIMA URUDIWE...

Hatimaye  Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha, jana ameonekana hadharani katika maadhimisho ya sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi zilizofanyika kwenye Uwanja wa Amaan mjini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI LUKUVI ATOA SIKU 18 JENGO LA GHOROFA 16 LIVUNJWE D’SALAAM

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ametoa siku 18 kwa uongozi wa Manispaa ya Ilala kuvunja jengo la ghorofa 16 lililopo katika Mtaa wa Indira Gandhi kabla halijaleta...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA AMTEMBELEA SUMAYE HOSPITALINI.

Aliyekuwa mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, katika taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI),...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAALIM SEIF SHARIF HAMAD AMWANDIKIA BARUA PAPA FRANCIS KUMWOMBA AINGILIE KATI...

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Seif Sharif Hamad, amemwangukia Papa Francis kwa kumwandikia barua, akimuomba kutumia ushawishi wake na Tanzania kumaliza mzozo wa kisiasa kisiwani humo kabla hali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE AITAKA CHADEMA IMTIMUE LOWASSA

CCM imemjibu mwanasheria Mkuu wa Chadema ikisema ili chama hicho kikuu cha upinzani kionekane kinapambana na ufisadi kwa vitendo, kinatakiwa kumuunga mkono Rais John Magufuli na kumvua uanachama Waziri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA ATANGAZA KUGOMBEA TENA URAIS MWAKA 2020

WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa jana alitangaza  kwamba anajiandaa kugombea tena urais utakapofika uchaguzi mkuu ujao Oktoba 2020. Lowassa alitangaza hayo mbele ya wafanyabiashara wa sokoni...

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live