Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM WATOA RATIBA YA KUFUNGA KAMPENI... KIKWETE KUTIKISA MWANZA, MKAPA KUITEKA...

CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.Kufunga KampeniCCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KORTINI KWA KUMTUKANA RAIS KIKWETE NA RIDHIWAN WAKATI AKIWA BAA

Mkazi wa mjini Moshi, Kyefa Joachim Makundi (33), jana alipandishwa kizimbani akikabiliwa na mashitaka ya kumtukana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya  Kikwete.Mbali na shitaka hilo,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGOMBEA MWENZA WA URAIS WA CCM AWATAKA WANANCHI KUTOMCHAGUA LOWASSA KWA...

MGOMBEA Mwenza wa Urais wa CCM, Samia Hassan Suluhu amewaonya wananchi kutochagua upinzani kwani mgombea wao ni goigoi na anaweza kuunda serikali goigoi.“Nawaombeni wana Iringa msichague watu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATIMAYE MAHAKAMA YATOA HUKUMU KESI YA KUKAA MITA 200 BAADA YA KUPIGA KURA

Mahakama Kuu Dar leo imetupilia mbali shauri la tafsiri ya sheria ya mpigakura kukaa au kutokaa umbali wa mitaa 200 kutoka eneo la kupiga kura.  Kwa mujibu wa majaji waliotoa maamuzi hayo wamesema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA MAFURIKO YA LOWAWASAA RUAHA, MIKUMI NI BALAA

Mhe. Edward Ngoyai Lowassa na Mhe. Fredrick Sumaye wakiwasili katika viwanja vya Tem K2 Ruaha,Ijumaa 23/10/2015 Mhe. Edward Ngoyai Lowassa (Kulia) akiambiwa jambo na mgombea ubunge wa jimbo la Mikumi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: MAGUFULI AHITIMISHA KAMPENI ZA URAIS JANGWANI JIJINI DAR

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA ATOA ONYO KWA NEC NA POLISI MCHANA HUU.... SUMAYE ASEMA CCM...

MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa ameionya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Jeshi la Polisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUNDU LISSU ‘ANUSA’ BAO LA MKONO SINGIDA MASHARIKI

Mgombea ubunge wa jimbo la Singida mashariki kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu  Antiphas Mughwai Lissu, amesema kwamba anahofia uchaguzi mkuu  hautakuwa huru na wa haki akidai kwamba Jeshi la Polisi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA: NITASHINDA KWA ASILIMIA 80....NAOMBA MFANYE NIPATE HIYO,NITAKUWA...

 Mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amesema ana uhakika wa kushinda kwa asilimia 80 na kwamba atakuwa rais wa mabadiliko na siyo maneno. Aliyasema hayo jana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HERE ARE ALL TANZANIAN NEWSPAPERS SUTARDAY OCT 24,2015, FOR HARD NEWS, GOSSIP...

I have set here headlines of various Tanzania News paper today, spend your time to read what is written here...............................

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWZZZZ!!!!! GARI LA MGHAMBA EXPRESS LAPATA AJALI LIKIWA LIKITOKEA...

GARI LA MGHAMBA EXPRESS LAPATA AJALI NA KUJERUHI WATU KADHA LIKIWA LIKITOKEA KAHAMA KUELEKE JIJINI ARUSHA, ENDELEA KUTEMBELEA DUNIA KIGANJANI KWA HABARI ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOTUBA YA MGOMBEA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KWA TIKETI CHADEMA...

Ndugu watanzania wenzangu.Imebaki siku moja tu kabla hatujapiga kura katika Uchaguzi Mkuu hapo tarehe 25 mwezi huu.Tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa baraka na rehema zake kwa kutufikisha hapa hii leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATIMAYE WANAFUNZI WA VYUO VIKUU VYA DODOMA WARUHUSIWA KUPIGA KURA

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa amesema wanafunzi wa vyuo vikuu waliojiandikisha Dodoma watapiga kura kwenye maeneo waliyojiandikisha.Alisema hayo jana wakati wa mkutano wake na waandishi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE ATEUA MAKATIBU WAKUU WANNE NA MANAIBU KATIBU WAKUU WATANO WAPYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete usiku wa leo, Ijumaa, Oktoba 23, 2015, amewateua Makatibu Wakuu wanne wapya wa wizara mbali mbali.Aidha, Rais Kikwete amewateua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MREMBO AMTIBU AUNT KITAMBI

MREMBO aliyejulikana kwa jina la Fatina Deus, ‘Fettylicious’ amesema amempa bure tiba ya kitambi staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel ili kumuondolea kero aliyokuwa akiipata.Akipiga stori na gazeti hili,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAJALA: AFADHALI UCHAGUZI UMEFIKA

STAA wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja, amefunguka kuwa anamshukuru Mungu uchaguzi umefika kitu ambacho alikuwa akikiomba usiku na mchana.Akizungumza na gazeti hili, Kajala alisema katika kipindi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAINDA AWAOMBA RADHI MASHABIKI

KUTOKANA na kukaa kimya kwa muda mrefu bila kujihusisha na kazi yake ya uigizaji, msanii wa muda mrefu, Ruth Suka ‘Mainda’ amewaomba radhi mashabiki zake kwa kitendo hicho na kuweka wazi kuwa yuko...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND, OMMY DIMPOZ WAZINGUANA MAREKANI!

Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.MAPENZI yanatingisha dunia! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia nyota wawili wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ kuzinguana laivu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UBUNGE KUMWACHISHA KINGWENDU UIGIZAJI

Mchekeshaji maarufu Bongo, Rashidi Mwinishehe ‘Kingwendu’ ameweka wazi kwamba yupo njiani kuachana na mambo ya uigizaji mara baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge.Akizungumza na mwandishi wetu, Kingwendu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASTAA WAZUNGUMZIA UCHAGUZI

IKIWA kesho Jumapili ndiyo siku ya uchaguzi mkuu ambapo Watanzania wataamua nani awe rais wao, mastaa mbalimbali wamezungumza na Risasi Jumamosi kueleza walivyojiandaa na uchaguzi huu ambao unaonekana...

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live