Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pitia Hapa Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Ijumaa Nov 18,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mrema amshtaki mkuu wa gereza la Dodoma kwa waziri mkuu

Mwenyekiti wa Taifa wa Bodi ya Parole,Dkt. Augustine Mrema  amemwandikia barua Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Kasim Majaliwa kulalamikia jeshi la Magereza kukwamisha mpango wake wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lipumba Atishia Kumpiga Marufuku Maalim Seif Kufanya Mikutano Tanzania Bara...

Mwenyekiti    wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, amesema atampiga marufuku Katibu Mkuu wa Chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad kufanya mikutano ya kisiasa Tanzania Bara kama hatamtambua kuwa mwenyekiti...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Asaini Sheria ya Huduma za Habari ya Mwaka 2016 Iliyopitishwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRA Yasema Muda Wa Kuboresha Taarifa Za Walipakodi Sasa ni Hadi Januari 2017

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inapenda kuwashukuru wakazi wa Dar es Salaam kwa  kushiriki katika zoezi la kuhakiki Namba ya Utambulisho Mlipakodi (TIN).Kutokana na mwitikio mkubwa wa wananchi kutaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hoja ya TANESCO Kupandisha Bei ya Umeme Yapigwa na Wadau

Wakati wadau wa umeme wa jijini Dar es salaam wakisubiri wiki ijayo kutoa maoni kuhusu pendekezo la Tanesco kuongeza bei ya umeme kwa asilimia 18.19, wenzao katika kanda nne wamepiga hatua hiyo.Msimamo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais Samia Suluhu Afanya Ziara Yenye Mafanikio Huko Ukerewe

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameweka jiwe la msingi katika mradi mkubwa wa maji kwenye mji Nansio katika kisiwa cha Ukerewe mkoani Mwanza mradi ambao utahudumia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Anne Makinda Azitaka Hospitali Za Serikali Ziboreshe Huduma Ili Zipate Wateja...

Mwenyekiti wa bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Anne Makinda amezishauri hospitali, vituo vya afya na zahanati za serikali kuboresha huduma za afya ili wananchi waliojiunga katika mifuko ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Umoja wa Ulaya (EU) : Tanzania ina haki kutosaini Mkataba wa EPA kama...

BALOZI wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini Tanzania na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Roeland Van de Geer amesema Tanzania ina haki ya kuamua kutosaini Mkataba wa Ushirikiano wa Kibiashara na Jumuiya ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Daktari FEKI anaswa Hospitali ya Rufaa Dodoma Akiwa Katika Harakati za...

Mkazi wa Area C mjini Dodoma, Boniface Kigomba amekamatwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma akiwa katika harakati za kuwaonyesha wagonjwa kliniki ya wajawazito. Tukio hilo lilitokea jana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mamlaka ya Bandari TPA Yapokea Boti Mbili za Kuegesha Meli kutoka China

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imepokea boti mbili za kisasa za kuhudumia meli kutoka China zitakazotumika katika Bandari za Dar es Salaam na Tanga. Meneja Mawasiliano wa TPA, Janeth...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi Waanza Uchunguzi wa kifo chenye Utata cha kigogo mstaafu Jeshi la...

Naibu Kamishna mstaafu wa Magereza nchini (DCP), Luhusa Chiza (62) amefariki dunia katika mazingira ya utata kwenye Hoteli ya Kitemba mjini Dodoma. Kwa mujibu wa mashuhuda tukio hilo, mwili wa Chiza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Godbless Lema Akwama Tena Kupata Dhamana, Hatima Yake Kujulikana Wiki Ijayo,...

Hatma ya dhamana ya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema), ilishindwa kujulikana jana baada ya mawakili wa Serikali kuweka pingamizi, wakipinga Mahakama Kuu, Kanda ya Arusha kusikiliza maombi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakuu 7 wa Mikoa Watakaoshindwa kutekeleza Agizo la Rais Magufuli, Hatarini...

Wakuu wa mikoa saba wako hatarini kutumbuliwa kutokana na kushindwa kutekeleza agizo la Rais John Magufuli kumaliza tatizo la madawati katika mikoa yao. Akizungumza jana alipokuwa akipokea madawati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanamke Afariki akiombewa kwa ‘Nabii’ Jijini Arusha, Utata waibuka baada ya...

Mwanamke  mkazi wa Unga-Limited jijini Arusha , Lightness Kivuyo ameripotiwa kufa wakati akifanyiwa maombi nyumbani kwa mchungaji aliyejulikana kama ‘Nabii Rajabu’ eneo la Kwa-Mrombo pia jijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News: Rais Mgufuli Amteuwa Aliyekuwa DCI, Diwani Athuman Kuwa Katibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Steven Wassira Chali, Ester Bulaya Ashinda Kesi ya Kupinga Ushindi Wake

Hatimaye Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza leo imetoa uamuzi wa kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa Ubunge uliompa ushindi Mbunge wa Bunda Mjini, Esther Bulaya (Chadema) dhidi ya Spephen Wassira (CCM)....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamanda Sirro: Makonda ni Mwenyekiti wangu, Kama ana wasiwasi Atajua...

Kamanda wa Polisi mkoa wa Dar es salaam Simon Sirro, amesema kama Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, ana wasiwasi na Jeshi la Polisi katika operesheni ya kutokomeza matumizi ya Shisha, achukue...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pitia Hapa Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumamosi Nov 19,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majibu ya Jeshi la Polisi Makao Makuu kuhusu tuhuma za Rushwa dhidi ya...

Jeshi la polisi nchini limesema litafanya uchunguzi wa tuhuma za rushwa dhidi ya Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamanda Simon Sirro na baadhi ya makamanda wa mikoa akiwemo kamanda wa...

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live