Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Amthibitisha Bw.gerson Msigwa Kuwa Mkurugenzi Wa Mawasiliano Ikulu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amemthibitisha Bw. Gerson Partinus Msigwa kuwa Mkurugenzi wa Kitengo cha Mawasiliano ya Rais, (Director of Presidential Communication -...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pitia Hapa Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Alhamisi Sept 01,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Madalali wa NHC wavamia ofisi ya gazeti la Tanzania Daima linalomilikiwa na...

Madalali wa NHC wamefika katika ofisi za gazeti la  Tanzania Daima asubuhi hii na kuanza kutoa vifaa ofisini kutokana na deni la pango la mmiliki wa gazeti hilo, Freeman Mbowe.Mhariri Mtendaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msajili amlima Barua Maalim Seif kuhusu sakata la Lipumba

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya siasa nchini imemuandikia barua Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad kufuatia mvutano wa kusimamishwa uanachama aliyekuwa Mwenyekiti wa chama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Cheyo: Rais Magufuli ni Rais aliyesubiriwa tangu kuanza kwa uhuru

Na: Lilian Lundo-MaelezoMwenyekiti wa Chama cha UDP John Cheyo amesema kuwa Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli ni Rais aliyesubiriwa kwa muda mrefu tangu kuanza kwa Uhuru.Cheyo ameyasema hayo alipokuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli apongezwa kwa kupambana na rushwa na kujenga mazingira bora...

Mwenyekiti wa Taasisi inayoshughulikia masuala ya Afrika (Africa Matters Limited) Mhe. (Baroness) Lynda Chalker wa Wallasey - Uingereza, amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mwinyi: Mipaka ya Tanzania iko Salama

Na: Lilian Lundo- MaelezoWaziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewahakikishia watanzania kwamba mipaka ya Tanzania ni salama.Mhe. Dkt. Mwinyi ameyasema hayo katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Official video|rayvanny-natafuta kiki...Watch/Download

Official video|rayvanny-natafuta kiki [Watch/Download]

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Ya Kuaihirishwa Kikao Maalumu Cha Baraza La Vyama Vya Siasa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pitia Hapa Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Ijumaa Sept 02,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Dkt. Magufuli Awapongeza JWTZ Kwa Kutimiza Miaka 52 Tangu Kuanzishwa Kwake

Serikali ya Awamu ya Tano imedhamiria kuwaunga mkono na kuwatumia wahandisi wa ndani wenye ujuzi mbalimbali katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa viwanda, reli, barabara na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli amuapisha Bw. Doto M. James kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli,  tarehe 01 Septemba, 2016 amemuapisha Bw. Doto M. James kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Ikulu Jijini Dar es Salaam....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania yateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Siasa, Ulinzi na USalama wa Nchi za SADC

Mkutano wa Wakuu wa nchi na Serikali umemalizika katika mjini Mbabane Swaziland ambapo Tanzania imeteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Asasi muhimu na nyeti ya Siasa, Ulinzi na USalama ya Jumuiya ya Maendeleo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Azindua Ripoti Ya Hali Ya Hewa Barani Africa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka viongozi wa Afrika wajiulize wanaweza kuchangia kitu gani katika kuboresha maisha ya mamilioni ya wakazi wa bara hilo.Ametoa kauli hiyo Alhamisi, Agosti 31, 2016...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mapokezi ya Waziri Mkuu Mjini Dodoma Yaahirishwa Hadi Vikao vya Bunge Viishe

SERIKALI Mkoa wa Dodoma imesema Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa atahamia rasmi mkoani humo mara baada ya kumalizika kwa vikao vya Bunge vinavyoanza wiki ijayo, Septemba 6.Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Jordan...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Atoa ONYO Kwa Walioficha Mabilioni ya Pesa Nyumbani, Atishia...

Rais John Magufuli amewataka watu walioficha fedha majumbani kuziachia ziingie kwenye mzunguko vinginevyo anaweza kuamua kuzibadili ili wakose mahali pa kuzipeleka. Amesema watu hao wamekuwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vifaa Vyote vya Freeman Mbowe Vilivyokamatwa Jana na NHC Vitauzwa Baada ya...

VIFAA vilivyokamatwa jana vya klabu ya usiku ya Bilicanas na ofisi ya gazeti la Tanzania Daima, vyote vinavyomilikiwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UVCCM yaivaa rasmi Chadema kwa kushindwa kufanya Maandamano ya UKUTA

Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), umewavaa viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kile walichodai kuendesha siasa za maigizo baada ya kushindwa kuzindua Operesheni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Orodha ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha tano Awamu ya pili

Ofisi ya Rais -TAMISEMI inatangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano awamu ya Pili (Second Selection) kwa mwaka 2016. Jumla ya wanafunzi 3,918 wakiwemo wasichana 2,413 na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Afikishwa Mahakamani Kwa Kumuita Rais Magufuli ni Kilaza

ELIZABETH Asenga (40), mkazi wa jijini Dar es Salaam amepandishwa kortini jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kuandika maneno ya kumkashifu Rais John Magufuli kupitia mtandao wa...

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live