Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2674

SUPER STAR WA BONGO MOVIE JACKY WOLPER NDOA YAMTIA UCHIZI

$
0
0

CHIZIKA! Wakati hekeheka za maandalizi zikipamba juu ya ndoa ya karne ya staa wa sinema za Kibongo, Wolper, mwanadada huyo anaonekana kuingiwa na ‘uchizi’ juu ya suala hilo ambapo muda wote anawaza ni kwa namna gani ataweza kuweka historia juu ya shughuli yake. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, hivi karibuni ndani ya Ukumbi wa Jozi



Village, jijini Dar, Wolper alisema: “akili haijakaa sawa kabisa, nawaza juu ya ndoa yangu ambayo muda si mrefu itatimia, silali, sili na sipumui vizuri, kila kitu kimesimama, ni kama imenitia uchizi, muda wa kuishi na mwanaume kwenye ndoa takatifu umewadia,” alitiririka Wolper.


Chanzo: GPL

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2674

Trending Articles