Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UGANDA YARIDHIKA BOMBA LA MAFUTA KUISHIA BANDARI YA TANGA

WAZIRI wa Nishati na Madini wa Uganda, Irene Muloni amesema ameridhishwa na eneo lililotengwa kwa ajili ya utekelezaji mradi wa ujenzi wa bomba la kusafirisha mafuta ghafi kutoka Ziwa Albert hadi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MAJESHI JENERALI DAVIS MWAMUNYANGE AMPONGEZA DR SHEIN KWA USHINDI

MKUU wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali Davis Mwamunyange, amemtumia salamu za pongezi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein kwa kuchaguliwa tena na wananchi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAFUNZI AFA KWA KUPIGWA NA RADI PORINI ALIKOKUWA AMEJIFICHA

Mwanafunzi wa darasa la nne katika shule ya msingi Swaila, kata ya Mkwamba wilayani Nkasi mkoani Rukwa, Maria Pangani (14) amekufa papo hapo baada ya kupigwa radi.Mwanafunzi huyo aliyekuwa akisoma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFALME WA SAUDIA ARABIA AMUAHIDI RAIS MAGUFULI USHIRIKIANO MNONO

Mfalme wa Saudi Arabia Mtukufu Salman Bin Abdulaziz Al Saud amemhakikishia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, kuwa nchi yake imeichagua Tanzania kuwa nchi ya kipaumbele...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMLAKA YA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA WILAYA YA MASWA (MAUWASA) MBARONI KWA...

MKURUGENZI Mtendaji wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Wilaya ya Maswa (MAUWASA) mkoa wa Simiyu, Lema Jeremiah (50) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Maswa akikabiliwa na makosa ya wizi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANNE KILANGO MALECELA AKOMAA NA WATUMISHI HEWA

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga, Anne Kilango Malecela ametoa siku sita kwa Wakurugenzi wa Halmashauri tatu za Ushetu, Msalala na Kahama zilizopo wilayani Kahama kuhakikisha wanawakilisha kwake majina ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MKOA WA ARUSHA ADAI YEYE NDO MWANZILISHI WA WAZO LA KUHAKIKI SILAHA...

MKUU wa Mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda amesema kazi ya kuhakiki silaha iliyoanza kwa wakazi wa Dar es Salaam, ilishaanza mkoani mwake takribani miezi miwili iliyopita na kwamba ndiyo maana matukio ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI AMTANDIKA RISASI DEREVA WA DALADALA BAADA YA KUPISHANA KAULI

Polisi mmoja anadaiwa kumpiga risasi dereva daladala, Pistus Ngowi baada ya kutofautiana kauli.Tukio hilo lililotokea juzi saa tatu usiku, Kariakoo jijini Dar es Sallam  lilisababisha madereva wenzake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAKATA LA TUMBILI 61 WALIOKAMATWA UWANJA WA NDEGE LACHUKUA SURA MPYA

Serikali imeunda kikosi kazi kinachohusisha taasisi nyeti nchini kuchunguza sakata la kukamatwa kwa raia wawili wa Uholanzi wakiwa katika harakati za kusafirisha tumbili 61 kwenda nchini Albania.Kikosi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAALIM SEIF SHARIF HAMADI AREJEA ZANZIBAR BAADA YA KUKAA MAPUMZIKONI SERENA...

Siku chache baada ya Rais wa Zanzibar Dr Ali Mohamed Shein kuapishwa baada ya kushinda uchaguzi wa marudio uliosusiwa na baadhi ya vyama vya upinzani, Katibu mkuu wa chama cha wananchi (CUF), Maalim...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAJESHI 8 WA JWTZ WATIWA MBARONI WAKITUHUMIWA KUMUUA RAIA WALIYEDAI...

Askari nane wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wanashikiliwa na Polisi Mkoa wa Kigona wakituhumiwa kwa mauaji ya Erick Nilamewa (16) waliyemtuhumu kuwaibia simu moja aina ya Techno na Sh....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALIOKULA MISHAHARA HEWA SINGIDA KUSHEREHEKEA SIKU YA WAJINGA RUMANDE

Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mathew Mtigumwe ameagiza mamlaka zinazohusika kuwakamata na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria watu watakaobainika kutafuna fedha za mishahara hewa kabla ya mwezi huu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASKARI APORWA BUNDUKI AINA YA SMG NA MAJAMBAZI

Watu saba wanaosadikiwa kuwa majambazi wakiwa na silaha mbalimbali za jadi, wamempora bunduki aina ya SMG askari polisi PC Shadrack.Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Dodoma, David Mnyambuga alisema tukio...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HABARI ZILIZOPO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI YA MARCH 27

HABARI ZILIZOPO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI YA MARCH 27

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YA TANZANIA HAINA MPANGO KWA KUTEKETEZA MENO YA TEMBO YALIYOHIFADHIWA

Serikali ya Tanzania imetoa tamko kuwa kwa sasa haina mpango wowote wa kuteketeza meno ya tembo yaliyohifadhiwa ambayo yametokana na vitendo vya ujangili na vifo asilia vya tembo.Tamko hilo limetolewa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI YA LORI YAUA WATU 7 NA KUJERUHI 10

WATU saba wamekufa na wengine 10  k u j e r u h i w a baada ya gari walilokuwa wanasafiri nalo aina ya Mitsubishi Fuso kupasuka tairi la mbele na kugonga kingo za barabara katika barabara kuu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO WA SIKU MOJA AIBWA HOSPITALI YA RUFAA YA BUGANDO

Mtoto wa siku moja ameibwa katika mazingira ya kutatanisha katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando, akiwa pembeni mwa mama yake aliyekuwa amelala, mwenye umri wa miaka 16.Akizungumzia uporaji huo jana,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADEREVA WATATU WA MALORI WAJERUHIWA KWA RISASI NA MLINZI WA HOTELI

Madereva watatu wa malori yaendayo mikoani na wasaidizi wao watatu, wamenusurika kifo baada ya kupigwa risasi sehemu mbalimbali za mwilini na mlinzi wa nyumba moja ya wageni iliyopo Ubena, Chalinze...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DUNIA KIGANJANI INAWATAKIA WATEMBELEAJI WAKE WOTE HERI YA SIKUKUU YA PASAKA...

DUNIA KIGANJANI INAWATAKIA WATEMBELEAJI WAKE WOTE HERI YA SIKUKUU YA PASAKA NA MUNGU AWABARIKIPIA KWA MWENYE TANGAZO LOLOTE LILE OFA HIPO USISITE KUWASILIANA NA MKURUGENZI WA BLOG HII NA KUKUTANGAZIA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HABARI ZILIZOPO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMATATU YA MARCH 28

HABARI ZILIZOPO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMATATU YA MARCH 28

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live