Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEW SONG: HARMONIZE FT DIAMOND PLATNUMZ – BADO… WIMBO HUU MPYA UMETOKA LEO

DOWNLOAD HERE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LA POLISI ZANZIBAR LATOA UFAFANUZI KUHUSU MADAI YA CCM KUTAKA MAALIM...

Jeshi la Polisi Zanzibar limetoa ufafanuzi kuhusiana na taarifa zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuwa jeshi hilo linapanga kumkamata Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi, CUF, Maalim Seif Sharif...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKWETE: NITAACHIA UENYEKITI WA CCM, LAKINI SITAACHA VIKAO VYA NDANI CCM

Moja kati ya hoja zinazogonga vichwa vya baadhi ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni mabadiliko ya Uenyekiti wa Chama hicho ambayo yatamuwezesha mzee wa Kutumbua Majipu, Rais John Magufuli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA MOTOMOTO: KINARA UPORAJI BENKI MBAGALA ATIWA MBARONI

Siku nne baada ya majambazi 12 kuvamia Benki ya Access tawi la Mbagala, jijini Dar es Salaam na kuiba Sh. milioni 20 na kusababisha vifo vya watu saba, mtu anayedaiwa kuwa kinara wa uhalifu huo ametiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PITIA HAPA MAGAZETI YOTE YA TANZANIA LEO JUMANNE MARCH 01,2016, KWA HARD...

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Tanzania Jumanne ya March ,2016

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALIMA MDEE ATUPWA RUMANDE... MAHAKAMA YAKANA KUZUIA UCHAGUZI WA MEYA DAR

Wakati mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee akilala rumande akihusishwa na vurugu zilizotokea Jumapili wakati uchaguzi wa meya wa Jiji la Dar es Salaam ulipokwama, Mahakama ya Kisutu imelikana zuio...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU KUTUA JIJINI MWANZA LEO, NA HAYA NDIYO MAJIPU ATAKAYOTUMBUA

Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa leo anatarajia kuanza ziara ya siku 14 katika mikoa ya Kanda Ziwa kukagua shughuli na miradi ya maendeleo. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo alisema Waziri Mkuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RUFAA YA BABU SEYA NA MWANAYE KUANZA KUSIKILIZWA MARCH 11 MWAKA HUU

Mahakama ya Haki za Binadamu ya Afrika (AfCHPR) katika kikao chake kilichoanza jijini Arusha, itapitia maombi ya rufani ya mwanamuziki maarufu nchini, Nguza Viking na John Viking dhidi ya Jamhuri ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI YAUA MAJAMBAZI WATATU.... BAADA YA KUPEKELIWA WALIKUTWA NA UJUMBE WA...

Watu watatu wanaosadikiwa kujihusisha na vitendo vya kigaidi na ujambazi wameuawa katika majibizano ya risasi na polisi. Watu hao walikutwa na karatasi yenye ujumbe kwa aliyekuwa Kamanda wa Kanda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASALITI NDANI YA CCM WAANZA KUTUMBULIWA MAJIPU

Huku kukiwa na taarifa kuwa wasaliti wa CCM wanaotarajiwa kutimuliwa wengi ni watu maarufu hasa viongozi wa ngazi za mkoa, tayari viongozi 21 wa Manyara, wameshatumbuliwa majipu bila ganzi. Jumla ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Through here NEWSPAPER TODAY WEDNESDAY MURCH,02.2016 story: ALL THE NEWS,...

Through here NEWSPAPER TODAY WEDNESDAY MUCH,02.2016 story: ALL THE NEWS, SPORTS AND HARD NEWS

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi ,UKAWA Ngoma Nzito........Naibu Katibu Mkuu CUF Nassor Ahmed Mazrui...

Jeshi la Polisi limeendelea na kamatakamata ya wapinzani wa vyama vinavyounda Ukawa katika maeneo mbalimbali likieleza sababu tofauti za kijinai zinazohusishwa na masuala ya kisiasa.Mpaka sasa wabunge...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dr. Bana: CCM Iheshimu Mfumo wa vyama Vingi

Mhadhiri kutoka Chuo Kikuu Cha Dar es salaam ambaye pia ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa na mambo ya kijamii Dk Benson Bana amesema chama tawala nchini CCM lazima kikubali utamaduni na kanuni za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli akutana na kuzungumza na Rais Museveni wa Uganda

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, amekutana na kufanya Mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Uganda Mheshimiwa Yoweri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA Kususia ziara na Vikao vya Maendeleo Dar es Salaam

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesusia ziara ya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika manispaa za Temeke, Kinondoni na Ilala na kuthibitisha kutoshiriki katika kikao cha bodi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi Wafanya Upekuzi Nyumbani Kwa Halima Mdee

Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam jana lilifanya upekuzi mkubwa katika nyumba ya Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema) baada ya kumtilia shaka kuwa na nyaraka muhimu za vikao vya uchaguzi wa Meya wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa Azidi Kuipasua CCM

Uamuzi wa Edward Lowassa kujiondoa CCM na kujiunga Chadema, bado unakitesa chama hicho tawala baada ya mikoa kuanza kuwashughulikia viongozi waliomuunga mkono wakati wa Uchaguzi Mkuu, huku baadhi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wauguzi sita Temeke wasimamishwa Kazi kwa kuuza gloves

Naibu Waziri wa Afya, Dk Hamis Kigwangalla amewasimamishwa kazi wauguzi sita katika hospitali  ya  Temeke kwa kosa la kuomba rushwa.Wauguzi waliosimamishwa ni Hadija Salum, Beatrice Temba, Agnes...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Seleiman Jafo Amemvua Madaraka Meneja wa Mamlaka ya Maji Mji Mdogo wa Kisarawe

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Tamisemi), Seleiman Jafo amemvua madaraka Meneja wa Mamlaka ya Maji Mji Mdogo wa Kisarawe mkoani Pwani, Listen Materu kwa kile alichodai ameshindwa kusimamia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kiwanda cha Vipodozi Feki chanaswa Kigamboni Dar

Mamlaka ya chakula na dawa nchini Tanzania TFDA imebaini kuwepo kwa kiwanda bubu kinachozalisha bidhaa za vipodozi nchini Tanzania zenye lebo ya SAME inayoonesha kutengenezwa nchini Uturuki kinyume na...

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live