Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yamwaga Ajira za Walimu wa Sayansi na Hisabati

SERIKALI imetangaza kuajiri walimu wa masomo ya sayansi na hisabati katika shule za sekondari ambao wametakiwa kupeleka nakala za vyeti vyao vya elimu ya sekondari, vya taaluma ya ualimu (stashahada na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamanda Sirro: Aliyetishwa na kauli ya Mzee wa Upako afungue kesi

Polisi  Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imemtaka yeyote anayeona kuwa kauli iliyotolewa na Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Maombezi (GRC), Anthony Lusekelo maarufu Mzee wa Upako imetishia maisha yake,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi Dar yawatia mbaroni watu 22 kwa kosa la uporaji katika magari

Kikosi  maalumu cha kupambana na wizi wa kutumia silaha na wizi wa kutumia nguvu cha Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, kimewakamata watuhumiwa 22 kwa makosa ya kuwapora wenye magari na wapitanjia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Ummy azindua Mpango Kazi wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili Dhidi ya...

Kwa mara ya kwanza mawaziri 11 wamekutana kwa ajili ya kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia, huku Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto ikiweka wazi mpango wake wa kuanzisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CUF Yakubali Kushiriki Uchaguzi wa Mbunge Dimani, Mwaka jana Walisusa Baada...

Kamati ya Utendaji ya CUF imepitisha majina matatu ya wanaowania kuteuliwa kugombea ubunge katika Jimbo la Dimani, Mkoa wa Mjini Mgharibi kisiwani Unguja.  Wakati CUF imepitisha majina hayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pitia Hapa Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumatatu Dec 26,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za Rais Magufuli na mkewe walivyoshiriki ibada ya Krismasi mkoani Singida

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na Mkewe Mhe. Mama Janeth Magufuli, leo tarehe 25 Desemba, 2016 wameungana na waumini wa Jimbo Katoliki la Singida kusali Misa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Atoboa Siri ya Kula Christmass Mkoani Singida

Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania,Dk.John Pombe Magufuli,amefichua siri ya kusali Krismasi kwenye kanisa la Parokia ya Moyo wa Yesu, mjini Singida mwaka huu.Ametaja siri hiyo kuwa wakati wa kampeni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tazama Hapa Video Mpya ya Wizkid iitwayo ‘Daddy Yo’

Mwimbaji staa wa Nigeria ambae alikua mgeni mualikwa wa FIESTA 2016 Mwanza na kwenye tamasha la Mombasa Rocks Music Festival 2016 ametoa video  nyingine kutoka kwenye maktaba yake. Itazame Hapa  chini

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Haji Manara Amuombea Msamaha Jerry Muro Kwa Rais Wa TFF

Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba Haji Sunday Manara amejitokeza kwa mara ya kwanza kumuombea msamaha mtani wake Jerry Muro ili kuifufua upya hamasa na kuongeza ushindani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFF Yasema Mechi ya Simba na Yanga iko palepale

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesema kuwa mechi ya ligi kuu Tanzania Bara ya mzunguko wa pili kati ya Simba na Yanga iliyokuwa imepangwa kuchezwa Februari 18 mwaka 2017 iko palepale kwa kuwa bado...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ratiba ya michuano ya Kombe la Mapinduzi inayotarajiwa kuanza Disemba 30

Pazia la Mashindano ya Kombe la Mapinduzi linatarajiwa kuanza kutimua vumbi lake Disemba 30, 2016 katika uwanja wa Amaan saa 2:15 Usiku ambapo kutakuwa na mchezo wa Derby ya Jangombe kati ya Taifa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wimbo Ambao Kenya Inataka Uondolewe Mtandaoni Kwa Kudhalilisha Dini unaoitwa...

Gazeti la Kenya liitwalo taifa leo limeripoti kwamba bodi ya filamu kwenye nchi hiyo imehuzunishwa na Msanii wa muziki wa Injili SBJ kuimba wimbo wa Injili ambao unadhalilisha Imani.Wimbo wenyewe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pitia Hapa Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Alhamisi Dec 29,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hapi Aishika Pabaya Kampuni Ya Zantel, Yalipa Mapato Zaidi Ya Milioni 687...

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Zantel Tanzania imelipa zaidi ya Sh milioni 687 baada ya kupewa siku saba na halmashauri hiyo iwe imelipa fedha hizo ambazo zilikuwa za kodi ya pango inazodaiwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu 7 Wafikishwa Mahakamani kwa kumchoma mkuki mdomoni mkulima

POLISI mkoani Morogoro imewafikisha mahakamani watu saba kati ya 12, kujibu tuhuma za kumjeruhi kwa kumchoma mkuki mdomoni hadi kutokea shingoni, Augustino Mtitu (35).Walipandishwa kizimbani jana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mapya Yaibuka Sakata la Kijana Aliyefariki Baada ya Nyoka wake Kuuawa na...

Tukio  la kushangaza lililohusishwa na kifo cha Denis Komba (24) baada ya nyoka aliyekuwa naye kuuawa, limechukua sura mpya baada ya mambo kadhaa kuibuka.Hayo ni pamoja na familia kudai mzoga wa nyoka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mikoa ya Njombe, Iringa na Mbeya yaongoza kwa maambukizi ya Virusi Vya UKIMWI

Kutokana na maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi kupungua kwa asilimia 50 duniani kote na kupelekea watu milioni 2.1 tu kuambukizwa Virusi vya Ukimwi katika mwaka 2015,kumeibua matumaini mapya ya kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mke wa anayedaiwa kutobolewa macho na ‘Scorpion’ atoa ushahidi Mahakamani

Stara Sudi, mke wa Saidi Mrisho ameieleza Mahakama ya Wilaya ya Ilala, jinsi alivyoshtuka baada ya kupokea simu aliyopiga mumewe kuwa amevamiwa na kuchomwa visu machoni, mgongoni na tumboni. Akiongozwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wassira akimbilia Mahakama ya Rufaa kumpinga Bulaya

WAZIRI mwandamizi wa serikali ya Tanzania kwa awamu nne za uongozi, Stephen Masato Wassira, kupitia kwa wafuasi wake watatu, amekata rufaa Mahakama ya Rufaa, akipinga uamuzi wa Mahakama Kuu kwa...

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live