Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: Masikilize Rais Magufuli Akipiga Marufuku Watu Binafsi Kuuza Sare za...

Rais Magufuli akizungumza na watumishi wa gereza la ukonga alipotembelea kwa kushtukiza jana. Kapiga marufuku watu binafsi kuuza sare za majeshi.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uongozi wa Kiwanda cha Saruji cha Dangote waeleza sababu ya kusitisha uzalishaji

UZALISHAJI katika kiwanda cha saruji cha Dangote kilichopo Mtwara umesimama kwa muda kutokana na hitilafu za kiufundi zilizojitokeza katika mitambo.Ofisa Mtendaji Mkuu wa Dangote Tanzania, Harpreet...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Selfie ya Diamond akiwa na BOXER Yazua Balaa Mitandaoni

Diamond Platnumz amezua balaa mtandaoni baada ya Jumanne hii kupost selfie akiwa amevalia kiboxer cheusi.Kwenye picha hiyo, Diamond aliandika: Straight from the Changing room!…I think i need to go back...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC Paul Makonda Atuhumiwa Kuwadhalilisha Watumishi wa Umma kwa Kuwaita...

KAULI mbalimbali zilizotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda wakati wa ziara zake zimezua taharuki jijini humo.Kwa nyakati mbalimbali wakati wa ziara zake,  Makonda anadaiwa kutoa kauli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chadema: Hatutakubali tena kudhulumiwa 2020

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) ,Vincent Mashinji amesema hawatakubali tena kudhulumiwa kwa namna yoyote  katika uchaguzi wa mwaka 2020.Dk. Mashinji amesema hayo huku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rwanda yashtumiwa kupanga shambulizi la kutaka kumuua msaidizi wa Rais wa...

Nchi ya Burundi imeishutumu Rwanda kwa madai ya kupanga kufanya majaribio ya kutaka kumuua msaidizi wa Rais Pierre Nkurunziza, Willy Nyamitwe.Msemaji wa jeshi la polisi kutoka Burundi, Pierre Nkurukiye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pitia Hapa Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumatano Dec 01,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamanda Wa Polisi Mkoa Wa Singida Afariki Dunia, Mwili Waagwa Jana Saa 11...

Aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Singida, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) EX Peter Kakamba amefariki dunia alfajiri ya tarehe 30/11/2016 katika hospital ya taifa Muhimbili alipokuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Kufanya Ziara Ya Kikazi Mkoani Arusha

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania MHE. Kassim Majaliwa  anatarajiwa kutembelea Jiji la Arusha kuanzia kesho tarehe 01 hadi 03/12/2016 na kukagua miradi ya maendeleo, kuongea na watumishi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TPDC Yakanusha Taarifa Kuwa Imeshindwa Kukiuzia Kiwanda Cha Dangote Gesi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msajili wa Hazina Atoa Ufafanuzi kuhusu fedha kukauka mifukoni mwa watu...

Msajili  wa Hazina nchini, Lawrence Mafuru amesema benki nchini zinashindwa kueleza ukweli juu ya kuyumba kwao na kwamba madai ya kuwa hali zao ni mbaya kutokana na agizo la serikali la kutaka fedha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mganga wa Kienyeji Auawa Akitaka Kumbaka Mgonjwa

Mganga wa kienyeji aliyejulikana kwa jina la Kashinje Kashinje (55), mkazi wa kijiji cha Singita kilichopo Kata ya Usanda wilayani Shinyanga ameuawa kwa kupigwa na wananchi ikielezwa alijaribu kutaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Scorpion Akana Hoja 6 lakini Akiri Hoja 3 Ikiwemo Kupata Mafunzo ya Kareti

MSHITAKIWA katika kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha, Salum Njwete (34) ‘Scorpion’, amekiri kupata mafunzo ya kareti kutoka chuo cha mafunzo cha Ifakara aliyoyafanya mwaka 1989 hadi 1995.Aidha,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majaliwa aongoza waombolezaji kuaga mwili wa Pinda

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa jana aliongoza mamia ya waombolezaji kuaga mwili wa marehemu Mzee Xavery Pinda ambaye ni baba mzazi wa Waziri Mkuu Mstaafu Mheshimiwa Mizengo Pinda.Akizungumza wakati wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafanyabiashara Wawili wa Madini Wafikishwa Mahakamani kwa Tuhuma za Kulawiti...

Wafanyabiashara wawili mashuhuri wa madini katika miji ya Mererani na jiji la Arusha jana walifikishwa mahakamani mjini Moshi kwa wakikabiliwa na makosa ya ulawiti na ubakaji watoto. Mmoja wao,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wadaiwa Sugu NHC Washitakiwa kwa Rais Magufuli

Shirika  la Nyumba la Taifa (NHC), limewasilisha ripoti ya wadaiwa sugu wa shirika hilo, zikiwamo wizara, taasisi za Serikali na watu binafsi kwa Rais Dk. John Magufuli, huku wizara mbili zikiwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Warioba: Maadili yameporomoka kwa viongozi na jamii

Jaji Mstaafu, Joseph Sinde Warioba amevishauri vyombo vinavyo simamia maadili kubadilika kiutendaji na kuachana na masuala ya kisiasa na amependekeza kuwa Taasisi  ya kuzuia na kupambana na rushwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Idadi ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza mwaka 2017

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, George Simbachawene amesema kuwa wanafunzi 526,653 kati ya 555,291 waliofaulu mtihani wa kumaliza darasa la saba mwaka huu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli amtuma salamu za rambirambi kifo cha Kamanda wa Polisi SIngida,...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Ernest Mangu kufuatia kifo cha Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pitia Hapa Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumamosi Dec 03,2016

View Article
Browsing all 2674 articles
Browse latest View live