Quantcast
Channel: DUNIA KIGANJANI BLOG | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2674

YAMOTO KUMTAMBULISHA MSHINDI WA BSS KAYUMBA DAR LIVE

$
0
0
Yamoto Bendi.


UTAMBULISHO! Bendi ya Yamoto inatarajiwa kumtambulisha rasmi Mshindi wa Bongo Star Search (BSS 2015), Kayumba Juma, Desemba 19, mwaka huu ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar Live, Mbagala-Zakhem jijini Dar.

Mshindi wa Bongo Star Search (BSS 2015), Kayumba Juma

Akizungumza na Ijumaa Wikienda, mratibu wa shoo hiyo, Mohamed Seif ‘Mudy K’ alisema kuwa Yamoto pia wataachia ngoma mpya baada ya Cheza kwa Madoido ijulikanayo kama Imo.

“Kutakuwa na sapraiz kibao ambapo Baby J mara ya kwanza atatambulisha wimbo mpya,” alisema Mudy K na kusisitiza kuwa kiingilio kitakuwa shilingi 10,000 tu.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2674

Trending Articles